JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mabwawa ‘hewa’ ya Sh milioni 720 yachimbwa

Mheshimiwa Mwenyekiti, naomba nisitofautiane na wenzangu wote waliozungumza.

Mbunge: Wezi fedha za umma wanyongwe

Mbunge wa Nkasi Kaskazini, Ally Mohamed (CCM), ni miongoni mwa wabunge waliochangia na kulaani vikali matumizi mabaya ya fedha za umma na hujuma zinazofanywa na viongozi.

Tusicheze danadana dakika za majeruhi itatugharimu

NA BARUA YA S.L.P.
Mzee Zuzu,
C/O Duka la Kijiji Kipatimo,
S.L.P. Private,
Maneromango.

Mtanzania Mwenzangu,
Yahoo.com/hotmail.com/excite.com/www.http,
Tanzania Yetu.

Yah:  Tusicheze danadana dakika za majeruhi itatugharimu

Serikali: Vitambulisho vya uraia vinatolewa bure

SERIKALI imewatoa hofu wananchi kwa kuwahakikishia kuwa vitambulisho vya uraia vitatolewa bure kwa Watanzania wote. Msimamo wa Serikali ulitolewa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, alipokuwa akijibu maswali ya papo kwa hapo kutoka kwa wabunge.

Rais Kikwete anaihujumu CCM!

Kuna siku nilikuwa eneo moja la katikati ya Victoria na Makumbusho jijini Dar es Salaam, tukijadili mambo mbalimbali likiwamo la matokeo ya uchaguzi mdogo wa Jimbo la Arumeru Mashariki. Hapo kuna mtu aliibua hoja ya hali aliyonayo Rais Jakaya Kikwete kwa sasa.

Bosi TBS hachomoki

*CAG aanika madudu mengine mapya
*Omo, Blueband, mafuta ya ndege hatari
*Pikipiki feki, vinywaji hatari kwa walaji
*Aruhusu Kobil wachakachue mafuta

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ametoa taarifa ya ukaguzi maalumu wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), na kuibua mambo ya hatari zikiwamo kampuni za mawaziri zinazoingiza mafuta ya magari yasiyofaa.