JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Yanga kuikata maini Simba?

Hatimaye kindumbwendumbwe cha Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kinafikia tamati Jumamosi wiki hii, kwa timu zote 14 zinazoshiriki michuano hiyo kuwa dimbani kwenye viwanja tofauti.

Ufuska kwa Marekani, uozo wa TBS kipi ni hatari zaidi?

Makachero wawili wa Serikali ya Marekani wamejiuzulu kwa kuwajibika, baada ya kukumbwa na kashfa ya kufanya ufuska nchini Colombia.

Jaji Warioba natarajia urejeshe Tanganyika yetu (3)

Katika ya pili ya makala haya nilieleza kuwa unaweza kuibuka uvivu wa kufikiri na baadhi ya watu wakahoji juu ya gharama za kuendesha serikali yenye ukubwa niliopendekeza. Kwa hiyo mimi napendekezo iwepo Serikali ya Tanganyika, ya Mapinduzi ya Zanzibar na ya Muungano.

EWURA yazidi kubana wachakachuaji

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Mafuta na Maji (EWURA) sasa imepiga hatua nyingine na kufanikiwa kudhibiti uchakachuaji wa mafuta ya dizeli na petroli, baada ya kuanza kutumia teknolojia ya vinasaba (maker).

Tanzania si nchi masikini, wafanyakazi walipwe vizuri

Leo ni Sikukuu ya Wafanyakazi Duniani. Tunawapongeza wafanyakazi wa Tanzania ambao, licha ya kufanya kazi katika mazingira magumu na kupata ujira mdogo, wameendelea kuwa wavumilivu.

Bunge lamkaanga JK

*Kura ya kutokuwa na Imani ni kikombe cha shubiri
*Wabunge wanajipanga kupata kura 176 kumwadhibu
*Spika wa Bunge ameahirisha tatizo, Zitto aibuka shujaa

WIKI iliyomalizika ilikuwa ni ya msukosuko wa hali ya juu baada ya Bunge kuamua kumkaanga Rais Jakaya Kikwete kupitia mgongo wa mawaziri wake.