Latest Posts
Waziri Kijaji afanya mazungumzo na wadau mbalimbali COP20
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji amehimiza mataifa yaliyoendelea kuunga mkono juhudi za nchi zinazoendelea ili ziweze kutekeleza kikamilifu agenda ya matumizi ya nishati safi ya kupikia. Ametoa wito huo wakati…
IGP Wambura awahakikishia usalama kuelekea Uchaguzi Serikali za Mitaa
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Camillus Wambura amewakumbusha wananchi kutekeleza haki yao ya kikatiba kwa kushiriki kwenye uchaguzi wa serikali ya mitaa tarehe 27 Novemba 2024 na kwamba Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi…
Bondia Jake Paul amkanda Mike Tyson
Bondia Jake Paul amefanikiwa kumtwanga Mike Tyson kwa Pointi za Majaji wote watatu. Katika pambano Lao la raundi nane lililochezwa Alfajiri ya Leo, Paul amemgalagaza mkongwe Tyson kama ifuatavyo. Lawrence Cole 73-79 David Lacobucci 72 – 80 Jesse Reyes 73-79…
Mradi wa umeme Rusumo kuzinduliwa Februari 25
📌 Dkt. Biteko asema umekamilika kwa asilimia 99.9 📌 Ataja kuongezeka kwa kiasi cha umeme katika Gridi ya Taifa 📌 Asema asilimia 52 ya umeme nchini inatumika kwa mahitaji ya wanachi 📌 Atoa wito kwa jamii kuhifadhi mazingira Imeelezwa kuwa…
Biharamulo kuwa kinara uzalishaji kahawa Kagera
Na Daniel Limbe,Jamhuri Media,Biharamulo IMEELEZWA kuwa serikali inakusudia kuongeza uzalishaji wa zao la kahawa kwenye wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera ili kuinua uchumi wa jamii na kuchangia pato la taifa ukilinganisha na hali ilivyo sasa. Wilaya hiyo ambayo ni miongoni…