JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Ubingwa mikononi mwa Simba, Yanga, Azam

*Boko naye asogelewa na ‘Kiatu cha Dhahabu’

Wakati Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara ikiwa imeingia katika raundi ya 22, mwelekeo wa ubingwa hivi sasa umebaki mikononi mwa timu tatu za Simba, Azam na Yanga, zote za Dar es Salaam.

Jaji Warioba natarajia urejeshe Tanganyika yetu

Rais Jakaya Kikwete mwishoni mwa wiki wakati akitoa tuzo za wanahabari bora nchini, ameviomba vyombo vya habari kuhakikisha vinatumia vyema uhuru wa habari katika mchakato wa Katiba mpya, aliotangaza rasmi kuwa utaanza hivi karibuni.

Tanzania na safari ya kisayansi

Katikati ya Machi mwaka huu, nilikuwa nikisikiliza kipindi cha Sayansi na Ubunifu kupitia redio moja inayorusha matangazo yake kutoka Dar es Salaam.

Hongera MCT, lakini namna ya kuwapata washindi itazamwe

Baraza la Habari Tanzania (MCT) limetoa tuzo kwa waandishi wa habari, wachora katuni na wapigapicha bora. Hili ni tukio jema. Linapaswa kuungwa mkono. Rais Jakaya Kikwete ameliona hilo, ameahidi kuwa Serikali itashiriki.

Uvamizi huu unafanywa viongozi wakiwa wapi?

Kwa siku kadhaa sasa mamlaka katika Jiji la Dar es Salaam zimekuwa zikiwahamisha wachuuzi waliovamia hifadhi za barabara na kuendesha biashara. Vurugu zimeripotiwa kutokea katika baadhi ya maeneo ya Ubungo na mengine jijini humo.

Hongera Nassari, hongera Chadema

Wapigakura wa Arumeru Mashariki wameamua. Wamemchagua mgombea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Joshua Nassari kuwa mbunge wao. Nassari amewashinda wagombea wengine saba wa vyama vya siasa, akiwamo Sioi Sumari aliyekuwa akiwakilisha Chama Cha Mapinduzi (CCM).