JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Nassari amgaragaza Sioi kwa kura zaidi ya 7,000

Nape akubali kushindwa, aipongeza Chadema
Sasa ni chereko, shangwe kila mahali nchini

Mgombea ubunge kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Joshua Nassari, amembwaga mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Sioi Sumari katika uchaguzi mdogo Jimbo la Arumeru Mashariki. Kutangazwa kwa Nassari kuwa mshindi wa kiti hicho, kumeibua shamrashamra si Arumeru pekee, bali ndani ya nje ya nchi, hasa kwa wapenda mageuzi.