JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Gari latengenezwa kwa Sh mil. 11, lauzwa kwa Sh mil. 1

Kwanza nimpongeze CAG pamoja na watu wa ofisi yake. Niwapongeze wenyeviti wote watatu kwa taarifa nzuri walizotusomea leo asubuhi.
Mheshimiwa Mwenyekiti, mimi naona suala hili ni kubwa na ni zito. Nadhani ni zito hata zaidi ya kupitisha bajeti. Kwa sababu bajeti tunapopitisha, ni fedha ambazo tunakisia tunadhani kwamba zitakusanywa. Hizi tunazozizungumzia leo ni fedha zimekusanywa zikaliwa – zimeliwa kwa njia nyingi.

Mabwawa ‘hewa’ ya Sh milioni 720 yachimbwa

Mheshimiwa Mwenyekiti, naomba nisitofautiane na wenzangu wote waliozungumza.

Mbunge: Wezi fedha za umma wanyongwe

Mbunge wa Nkasi Kaskazini, Ally Mohamed (CCM), ni miongoni mwa wabunge waliochangia na kulaani vikali matumizi mabaya ya fedha za umma na hujuma zinazofanywa na viongozi.

Tusicheze danadana dakika za majeruhi itatugharimu

NA BARUA YA S.L.P.
Mzee Zuzu,
C/O Duka la Kijiji Kipatimo,
S.L.P. Private,
Maneromango.

Mtanzania Mwenzangu,
Yahoo.com/hotmail.com/excite.com/www.http,
Tanzania Yetu.

Yah:  Tusicheze danadana dakika za majeruhi itatugharimu

Serikali: Vitambulisho vya uraia vinatolewa bure

SERIKALI imewatoa hofu wananchi kwa kuwahakikishia kuwa vitambulisho vya uraia vitatolewa bure kwa Watanzania wote. Msimamo wa Serikali ulitolewa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, alipokuwa akijibu maswali ya papo kwa hapo kutoka kwa wabunge.

Rais Kikwete anaihujumu CCM!

Kuna siku nilikuwa eneo moja la katikati ya Victoria na Makumbusho jijini Dar es Salaam, tukijadili mambo mbalimbali likiwamo la matokeo ya uchaguzi mdogo wa Jimbo la Arumeru Mashariki. Hapo kuna mtu aliibua hoja ya hali aliyonayo Rais Jakaya Kikwete kwa sasa.