JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Takukuru inajipendekeza kwa Rais Kikwete?

“Sheria inatutaka tufanye uchunguzi wa tuhuma zozote na katika hili, CAG alitakiwa atupe taarifa. Lakini sisi baada ya kusikia bungeni tulimwandikia barua kumwomba atupatie ripoti ya mambo yanayotuhusu (ili) tuanze kuyashughulikia haraka,” anasema Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Dk. Edward Hoseah.

Wenye CCM nao wameichoka!

Uchaguzi unaoendelea katika ngazi mbalimbali ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), unapaswa kuwa funzo maridhawa kwa makada, viongozi na wafuasi wa chama hicho kikongwe.

Kuhujumu gazeti: Waingereza wangecheka hadi wafe

Zilipokuja habari za gazeti hili makini kuhujumiwa kwa nakala zote hili kununuliwa, watu wa hapa hawakuamini. Nilikuwa kwenye kijiwe cha kuvuta sigara – si unajua kila eneo la kazi pametengwa eneo la kupunguzia baridi – nilipozisikia.

Tanzania kuimarisha usambazaji wa maji jijini Dar es Salaam

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Christopher Sayi, amesema Serikali imeanzisha mradi mkubwa wa maji katika Jiji la Dar es Salaam na utakapokamilika, kwa miaka 15 ijayo Jiji hili halitakuwa na shida ya maji.

Mkono: Hata JK yapo ya Chadema anayoyakubali

*Aeleza sababu za kusaini kumng’oa Waziri Mkuu
*Asukumwa na wizi uliofanywa mgodini Buhemba

Mbunge wa Musoma Vijijini, Nimrod Mkono (CCM), ameamua kueleza sababu zilizomfanya asaini fomu ya majina ya wabunge katika kusudio la kumpigia kura Waziri Mkuu Mizengo Pinda ya kutokuwa na imani naye.

Katiba mpya itakimudu kizazi cha ‘FACEBOOK?’

Suala la maisha na siasa ni kama lile fumbo la yai na kuku. Kipi kinaanza kati ya siasa na maisha. Ni siasa ndiyo inayozaa maisha ama ni maisha ndiyo yanayozaa siasa? Kipi ni mzazi wa kingine?