JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Ikulu kukarabatiwa kwa Sh bilioni 6

Wabunge kadhaa wamejiandaa kuhoji matumizi ya Sh bilioni 6 zilizotengwa kwa ajili ya ukarabati wa Ikulu. Kiasi hicho cha fedha kimetengwa katika bajeti ya mwaka wa fedha wa 2012/2013. Wabunge wanahoji kiasi hicho kikubwa hasa kutokana na kuonekana kuwa kila…

RUSHWA BUNGENI

*Halmashauri Dar zawahonga mil. 25/-
*Mbunge CCM asema Chadema ‘inawaovateki’
Kamati ya Kudumu y Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa inatajwa kuwa miongoni mwa kamati zinazonuka rushwa, na kuna habari kwamba wabunge wengine watatu wataunganishwa na mwenzao katika kesi ya kuomba na kupokea rushwa.

Ije Jubilee nyingine ya malkia tushibe

Si mapumziko hata kidogo, maana ni sikukuu lakini waliofanya kazi wametoka na vinono. Wengi wataendelea kumwombea Mtukufu Malkia Elizabeth II adumu na serikali iendelee kuridhia maadhimisho ya sherehe zake.

Adui wa Waislamu ni utamaduni wa Kiarabu wa Ghuba

*Ukristo ama Uislamu na serikali si tatizo katu
Naomba nichangie hapa kama Mtanzania -na si kama Mwislamu au Mkristo au mpagani. Mosi, ni kweli kwamba kitabu cha yule padri Mzungu, Dkt. John Sivalon kinaleta shida sana mawazoni mwa watu. Lakini turejee kwenye ukweli wa kisomi, kwamba huwezi kuhitimisha jambo zito kwa kutumia chanzo kimoja.

NIDA yataja faida za vitambulisho

Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imeamua kutoa elimu kwa wananchi, katika mchakato wa kutoa vitambulisho vya uraia kwa Jiji la Dar es Salaam unaotarajiwa kuanza wakati wowote mwanzoni mwa mwezi huu.

Yah: Uzalendo uliondoka kama Ujamaa na Kujitegemea?

Wanangu, leo nimeamka nikiwa na siha njema kabisa na kufurahi kwamba sasa mmeanza kuyaona yale ambayo labda sisi watu tunaoonekana wazee, mnaweza kuyaangalia kwa kina na kuyatafutia ufumbuzi wa kina ili tuondoke hapa tulipo twende huko kulikokuwa kunatarajiwa na wengi.