JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Anayetuhumiwa kumteka Dk. Ulimboka azungumza

 

*Ni Kamanda Msangi anyeongoza Tume ya kuchunza utekaji ulivyotokea

*Ujumbe wasambazwa kuwa ndiye alimpora simu ya mkononi na ‘wallet’

*Yeye asema amekatishwa tamaa, Professa Museru aeleza alichosikia

Dk. Steven Ulimboka

Askari anayetuhumiwa kumteka Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari Nchini, Dk. Stephen Ulimboka, Kamishna wa Polisi Msaidizi (ACP), Ahmed Msangi, amehojiwa na kuzungumzia kilichotokea kuhusiana na tuhuma kwamba aliambiwa arejeshe simu ya mkononi na pochi ya Dk. Ulimboka.

 

Quotes

Washington: Utumwa unanikera

“Ninaloweza kusema ni kwamba hakuna mtu aliye hai mwenye kutamani kwa dhati kuona utumwa unakomeshwa zaidi yangu.”

Haya ni maneno aliyoyasema Rais wa Kwanza wa Marekani, George Washington, wakati wa harakati wa kulipatia taifa hilo uhuru kutoka kwa Waingereza. Marekani ilipata uhuru wake mwaka 1776.

****

Katiba Mpya, Tanzania Mpya 11

Kama nilivyoahidi wiki iliyopita, kwamba baada ya kuwa tumemaliza kulizungumzia suala la Muungano kwa urefu na upana, ningeanza kuzungumzia suala la ardhi katika Taifa letu na jinsi Katiba ya sasa inavyolieleza suala hilo na umiliki wake kwa Watanzania.   Hebu…

Twende tuwekeze Sudan Kusini – Jenerali Kisamba

*Saruji, ngano, vifaa vya ujenzi, alizeti vinahitajika *Asema majirani zetu wameshaanza kunufaika mno   Ushauri umetolewa kwa Tanzania na Watanzania kuamka na kuchangamkia fursa za uwekezaji na biashara zilizojitokeza katika taifa jipya la Sudani Kusini.   Ushauri huo umetolewa na…