JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

MCT wameonyesha njia, wanahabari tubadili nchi

Wiki mbili zilizopita nilipata fursa ya kwenda katika mikoa ya Tabora na Kigoma, kwa ajili ya kufundisha waandishi wa habari Azimio la Dar es Salaam juu ya Uhuru wa Uhariri na Uwajibikaji.

Dk. Slaa ‘ammaliza’ Sitta

Tea/sept2

lead

 

*Amwanika alivyohaha kujiunga Chadema

*Aeleza alivyotumia Uspika kuasi CCM

*Afichua hotuba aliyoandaa kujitoa

 

Siri za mkakati wa Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta, wa kukihama Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kujiunga Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), zimeanza kuvuja.

OXFAM yaivuruga Loliondo

*Yazifadhili asasi kuvuruga amani Loliondo

*Yazichotea mamilioni kufanikisha vurugu


Shirika la Misaada la Kimataifa la Oxfam limejiingiza kwenye ufadhili wa vikundi na asasi za kiraia, zinazozua na kuchochea mgogoro kati ya Serikali na wafugaji wa jamii ya Kimaasai katika Wilaya ya Ngorongoro mkoani Arusha.

Bunge la sasa linaelekea wapi? (3)

Kwa namna mwenendo unavyoonekana katika Bunge, nashauri waheshimiwa wabunge wauzibe ule ufa namba tatu, ulioelezwa na Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, unaotikisa Taifa letu. Ufa huo ni ule wa “Kuendesha mambo bila kujali sheria (Nyufa: uk. 14 ibara ya pili)”

Uhuru wa habari na magazeti kwa wote – 2

Wana-JAMHURI, wiki iliyopita mtakumbuka kwamba nilieleza umuhimu wa vyombo vya habari na haja ya kulinda uhuru wake adimu. Nikagusia kiasi jinsi magazeti yanavyofungiwa, kutishiwa au kupewa adhabu nyingine.

Tujifunze kutokuwa wavivu wa kufikiri

Kati ya viongozi waliowahi kuiongoza nchi yetu na nitakaoendelea kuwaheshimu sana na kuwapenda ni Rais mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa.