JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Wazungu wanavyoitafuna Tanzania

Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Stephen Masele ametoa taarifa kwa umma kuhusu udanganyifu unaofanywa na kampuni ya uchimbaji ndhahabu ya Aureus Limited ambayo zamani ilikuwa ikijulikana kama Minextech. Ifuatayo ni taarifa hiyo neno kwa neno…

 

Utangulizi

Kampuni ya Aureus Limited (zamani ilikuwa ikiitwa Mineral Extraction Technologies Ltd (Minextech) ni kampuni inayojishughulisha na uchenjuaji wa marudio ya dhahabu ya wachimbaji wadogo (gold tailings) kwa kutumia teknolojia ya kemikali ya sayanaidi (vat leaching).

Kikwete polisi wanaanza kuyeyusha heshima uliyojijengea

Mwaka 2008 nilibahatika kuwa mmoja wa watu waliopata fursa ya kusafiri na Rais Jakaya Kikwete kwenda jijini Washington, Marekani. Safari hii ilikuwa ikihusiana na mambo mbalimbali lakini kubwa ni kushawishi Serikali ya Marekani kuridhia Mpango wa Millennia Challenge Cooperation (Account) – MCC.

Kivumbi Ligi Kuu Bara chaanza

Michuano ya Ligi Kuu ya Soka ya Vodacom Tanzania Bara msimu huu, inaanza kutimua vumbi kwenye viwanja saba tofauti, Jumamosi wiki hii. Agosti 31, mwaka huu, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), lilitoa ratiba inayoonesha kuwa bingwa wa ligi hiyo atapatikana Mei 18, mwakani, wakati timu zote 14 zinazoshiriki zitakapokuwa uwanjani kuhitimisha mechi zake 26 kila moja.

Mramba: Kuleni nyasi

“Tupo tayari kula hata nyasi, lakini lazima ndege ya Rais inunuliwe”

Haya ni maneno aliyoyatoa aliyekuwa Waziri wa Fedha, Basil Pesambili Mramba wakati wa Awamu ya Tatu chini ya Rais Benjamin Mkapa Bunge lilipoelekea kukataa ununuzi wa ndege ya Rais.

Tujifunze kutokuwa wavivu wa kufikiri

 

Mwalimu Julius Nyerere katika kitabu chake cha TUJISAHIHISHE  alisema,  “Wengine humwona mwenzao anafanya kosa, badala ya kumwabia pale pale kijamaa kwamba atendalo ni kosa, watanyamaza kimya. Lakini hawanyamazi kabisa! Watakwenda kumteta katika vikundi vya siri siri.

 

Nani anawashika mkono wajasiriamali?

Mwezi mmoja uliopita niliandika makala iliyokuwa na kichwa cha habari “Barua ya biashara kwa BRELA”. Brela ni Mamlaka ya Uandikishaji Biashara na Leseni. Baada ya kuitoa gazetini niliituma pia barua hiyo huko Brela kwa njia ya barua pepe.