JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Yah: The big four The big poor, So what?

Wanangu poleni na uchovu wa mawazo. Sitaki kuwapa kongole ya kazi kwa sababu naomba nikiri wazi kuwa nyote ni wababaishaji na hamna lolote mnalofanya zaidi ya kuungaunnga kile tulichokifanya sisi kwa ujana wetu.

Wingi wa sukari maghalani wamkera Waziri Chiza

 

*Ahoji sababu ya kutouzwa, akerwa na bei ghali ya sukari

*Akataa kuruhusu iuzwe nje, Mkurugenzi wa Bodi amkwaza


Wakati Watanzania wakiumizwa na bei ghali ya sukari, imebainika kuwa karibu tani 180,000 za bidhaa hiyo ‘zinaozea’ maghalani katika Jiji la Dar es Salaam na sasa wafanyabiashara wanasaka kibali cha kuiuza nje ya nchi.

Baada ya Ziwa Nyasa, mgogoro sasa waibuka Ziwa Kitangiri

Umiliki wa Ziwa Kitangiri unafanana na mgogoro uliopo sasa wa mpaka kati ya Tanzania na Malawi katika Ziwa Nyasa. Wakati mgogoro wa Malawi ukipewa kipaumbele, huu wa Ziwa Kitangiri linalotenganisha wilaya za Meatu na Iramba haujapewa msukumo wa kutosha.

Makanisa mengi ni dalili ya kukata tamaa

Juzi nimesoma habari inayohusu utajiri wa kutisha, wa baadhi ya viongozi wa madhehebu ya kikristo. Viongozi wanaotajwa, wengi wao ni hawa wa madhehebu yanayoibuka na kusajiliwa kila siku. Nilifurahi kusoma habari hiyo kwa sababu imebeba kile ambacho mara zote nimekiamini.

Wanasiasa wengi wanatafuta ulaji, si uongozi

 

Wakati zamani dhamira ya wanasiasa wengi ilijikita katika kutafuta uongozi wa kutumikia umma, siku hizi mambo ni tofauti. Wengi wao wanasaka uongozi kwa lengo la kujipatia ulaji! Nani anapinga? Fuatilia kwa makini viongozi wa kisiasa nchini hususan kuanzia ngazi ya kata, jimbo hadi Taifa utaona wengi wao wanatumia nyadhifa zao kujitafutia maslahi binafsi ya kujineemesha na familia zao.

Elimu ya Tanzania vipi? (3)

Kwa hizi kazi za taaluma (professionals) kama ualimu, udaktari, ufundi, sheria, kilimo na kadhalika zina kima chake cha kuhitimu.