JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Kikwete apendelea familia yake CCM

 

*Ahakikisha wanne wa familia yake wanapita

*Naye akichaguliwa uenyekiti atakamilisha ‘The Kikwete 5’

*Mwanae mwingine ni Mjumbe Chipukizi Taifa

*NEC ijayo itakuwa ya Baba, Mama na Watoto (BMW)

 

Mjadala mkali umeibuliwa katika mitandao mbalimbali ya kijamii, ukihusisha familia ya Kikwete kuwa na wagombea watano wa nafasi tofauti ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Tayari majina manne yameshapitishwa, huku jina la Rais Jakaya Kikwete likisubiriwa kuwa la tano wakati atakapojitokeza kuwania nafasi ya Mwenyekiti wa CCM Taifa.

 

Mkakati wa 2015 waiva

Makundi ya kuhasimiana ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), yameendelea kukiburuza chama hicho kwa kuimarisha mkakati wa kupachika wagombea wao kwenye nafasi mbalimbali ikiwamo Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC-CCM).

Kituo cha yatima chadaiwa kugeuzwa biashara

 

Katika kipindi hiki cha mageuzi ya kijamii, kumekuwa na mashirika mbalimbali yaliyoanzishwa nchini yakijitanabaisha kuwa yanalea watoto yatima na wanaoishi katika mazingira hatarishi, kwa mashirika hayo kuwapatia watoto hao mahitaji muhimu kama vile chakula, malazi, mavazi, matibabu na elimu.

Siku ya Kujua: Nguzo ya maendeleo duniani

Maendeleo ya binadamu yamebaki kuwa mtihani mgumu unaosumbua vichwa vya wengi wanaoendesha Serikali, taasisi binafsi au kuajiriwa. Kila binadamu anafanya kazi kwa nia ya kujiletea maendeleo binafsi ili hatimaye maendeleo ya mtu mmoja mmoja yazae maendeleo ya taifa kwa ujumla.

Yatima wasigeuzwe mtaji wa kujineemesha

Moja ya makala zilizobeba uzito katika toleo hili, ni ile inayohusu tuhuma za kituo cha watoto yatima kugeuzwa mradi wa biashara ya mtu binafsi. Kituo kinachotajwa katika makala hiyo ni kile kinachojulikana kama ‘City of Hope’ kilichopo katika Kijiji cha Ntagacha, Wilaya ya Tarime, mkoani Mara.

Elimu iwajenge wanafunzi kujitegemea

Serikali ya hapa Uingereza inaandaa mabadiliko makubwa ya elimu amabko mfumo wa mitihani utakuwa tofauti. Lazima nasi Watanzania tujifunze kitu hapa kwa sababu tumekuwa na kasumba ya kubadili mfumo bila sababu zake kueleweka wazi.