JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

CRS Tanzania kumiliki dola mil 17

Thamani ya uwekezaji wa Shirika la Catholic Relief Services (CRS) Tanzania, itaongezeka hadi kufikia dola za Kimarekani milioni 17 mwaka kesho.

Urais: Sumaye anena ya moyoni

Waziri Mkuu mstaafu Frederick Sumaye amesema, tofauti na wanasiasa wengine, yeye akiutaka urais hatasubiri kuoteshwa. Amesema wakati wa kugombea urais ukiwadia, na kama akitaka kuwania nafasi hiyo, hakuna kizuizi kwake.

Upendeleo mwingine ukoo wa Kikwete

Fukuto kubwa limeanza ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Bagamoyo, kutokana na baadhi ya wanachama kuhoji uhalali wa ukoo wa Kikwete kushika nafasi nyeti karibu zote katika Kamati ya Siasa ya wilaya hiyo.

Nyerere: Vyombo vya umma

“Vyombo vya umma vitumiwe kuhudumia wananchi. Wote wanaoviharibu ama kwa bahati mbaya ama kwa makusudi, lazima wajisahihishe; la sivyo wanyang’anywe madaraka.”

Ni maneno ya mwasisi na Baba wa Taifa letu, Mwalimu Julius Nyerere, alipowaasa viongozi kutumia vizuri madaraka yao kwa kuhakikisha vyombo vya umma vinahudumia wananchi kwa uzito unaostahili.

Simba, Yanga haponi mtu

Wapenzi na mashabiki wa soka nchini wanasubiri kwa hamu kesho mtanange wa watani wa jadi – Wekundu wa Msimbazi, Simba Sports Club ya jijini na Dar es Salaam Young Africans (Yanga) yenye makao yake makuu mitaa ya Jangwani na Twiga, watakapopepetana kwenye Uwanja wa Taifa katika Ligi Kuu Vodacom Tanzania Bara.

Waziri Mwakyembe alikosea kuhamishia ofisi kanisani

 

Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe, ni miongoni mawaziri wachache wanaoheshimika nchini, kutokana na jitihada kubwa anazofanya katika kuwatumikia wananchi.