JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Uuzaji ardhi

 

 

“…Tukiruhusu ardhi iuzwe kama kanzu, katika muda mchache, kutakuwa na kundi dogo la Waafrika wakiwa na ardhi na walio wengi watakuwa watwana.”

Je, Mwalimu Nyerere aliunyonga ujasiriamali?

Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliamua kuanzisha mfumo wa kiuchumi wa Ujamaa na Kujitegemea, mara tu baada ya Tanganyika kujipatia uhuru wake.

Mwalimu Nyerere kuking’oa CCM madarakani?

Tunaojua historia ya uongozi wa Mwalimu Julius Nyerere, hatusiti kutamka wazi kwamba Mwasisi huyo wa Taifa letu huenda akaking’oa madarakani Chama Cha Mapinduzi (CCM) siku si nyingi zijazo.

‘Kikitokea chama kama CCM ya Nyerere kitatawala milele’

Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, alidhamiria kuifanya Tanzania kuwa paradiso.

“Mwalimu alitaka kujenga paradiso ya hapa duniani katika nchi hii. Kama tungetekeleza misingi aliyotuwekea, Tanzania ingekuwa paradiso.” Haya ni maneno ya Ibrahim Kaduma (75).

Kaduma ameshika nyadhifa mbalimbali, zikiwamo za ukurugenzi na uwaziri katika Serikali ya Awau ya Kwanza.

‘Dokta Nchia’: Mpishi wa Nyerere

*Asema Mwalimu alipofungwa bao hakula

“Dokta Nchia”, kama Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, alivyopenda kumuita, hakuwa daktari wa binadamu au mifugo. Alikuwa daktari wa mlo.

Simulizi ya mjukuu wa Mwalimu Julius kambarage Nyerere

*Amepata kuswekwa rumande kwa kuendesha trekta

Petro John Nyerere ni mmoja wa wajukuu wa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Baba yake ni John Guido Nyerere, mtoto wa nne wa Baba wa Taifa. Petro ni mmoja wa wajukuu wachache kati ya wengi walioishi muda mrefu na babu yao pamoja na bibi yao, Mama Maria Nyerere.