JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Vigogo wagawana viwanja

Utapeli wa kutisha umefanywa na uongozi wa Manispaa ya Temeke, Dar es Salaam, juu ya uuzaji viwanja katika eneo la Gezaulole.

Madaraka Nyerere azungumza

Mpenzi msomaji wa JAMHURI,  katika toleo lililopita Madaraka Nyerere, ambaye ni mtoto wa Mwalimu Nyerere alielezea masuala mbalimbali kuhusu Mwalimu, familia yake na kutoa mtazamo wake juu ya hali ya maisha ya sasa ya Watanzania baada ya kifo cha baba wa Taifa. Ifuatayo ni sehemu ya mwisho ya makala hiyo… 

BoT yajaa watoto wa vigogo

Wamo Salama Ali Hassan Mwinyi, Filbert Tluway Sumaye, Zaria Rashidi Kawawa, Blasia William Mkapa, Harriet Matern Lumbanga, Pamela Edward Lowassa, Rachel Muganda, Salma Omar Mahita, Justina Mungai, Kenneth Nchimbi, Violet Philemon Luhanjo, Liku Kate Kamba, Thomas Mongella na Jabir Abdallah Kigoda.

 

Rooney kuipaisha Uingereza fainali za Kombe la Dunia

Mwanasoka wa kimataifa wa nchini Uingereza, Wayne Rooney, anayechezea klabu ya Manchester United, anatarajiwa kuongoza kikosi cha England dhidi ya San Marino katika mtanange wa kuwania kufuzu fainali za kombe la dunia zitakazofanyika nchini Brazil, mwaka 2014.

Serikali iisaidie BFT kuwezesha mabondia

Michuano ya ngumi Afrika inatarajiwa kufanyika Casablanca, Morocco, baadaye mwezi huu, wakati Tanzania imeteua mabondia 13 watakaoiwakilisha huko, baada ya kuonesha uwezo mzuri katika mashindano ya Taifa yaliyofanyika Dar es Salaam, hivi karibuni.

Yanga yasumbua vichwa vya mashabiki

Wakati Wekundu wa Msimbazi, Simba Sports Club ya jijini ikifanya vizuri kwa kujikusanyia pointi nyingi mwanzoni mwa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, mahasimu wao wakubwa zaidi, Dar es Salaam Young Africans (Yanga) yenye makao yake mitaa ya Jangwani na Twiga, imekuwa ikisuasua na kuzua maswali mengi kutoka kwa mashabiki wake.