JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Utaifa hauna dini (4)

Nadhani kila anayesoma maneno haya hii leo, anaweza kuona jinsi Baba wa Taifa alivyodhamiria kujenga nchi ya watu wenye hali ya usawa katika kila nyanja.

Motisun Holding Ltd: Mhimiri wa maendeleo ya Taifa

*Yajipanua hadi mataifa ya Zambia, Uganda

*Watoto wa wafanyakazi wasomeshwa bure

*Watumishi wapewa vifaa ujenzi wa nyumba

*Ni mali ya Watanzania kwa asilimia mia moja

Oktoba 10, mwaka huu, wahariri kutoka vyombo mbalimbali vya habari hapa nchini, walizuru viwanda vinavyomilikiwa na Kampuni ya Motisun Holdings Limited vilivyopo jijini Dar es Salaam.

Bunge lisipuuze kilio cha wafanyakazi

Leo Bunge la Jamhuri ya Muungano linaanza mikutano yake mjini Dodoma, huku wafanyakazi na Watanzania kwa jumla wakitarajia kusikia limeifanyia marekebisha ya Sheria mpya ya Mafao ya wanachama wa Mifuko ya Jamii.

Wafanyakazi watishia kuisulubu CCM

Wafanyakazi mbalimbali nchini wameahidi kukisulubu Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Uchaguzi Mkuu ujao (2015), ikiwa Serikali haitatengua Sheria mpya ya Mifuko ya Hifadhi ya Jamii.

Yah : Mkiamua mnaweza lakini hamuamui Hongereni

Wanangu leo ni siku nyingine ya Jumanne katika wiki hii ambayo ni nadra sana kuifikia, kama hujui kwamba kesho ni mtihani mkubwa kwako kutokana na siri kubwa aliyonayo Mwenyezi Mungu juu yako, ni yule ambaye siyo muumini wa dini yoyote ndiyo anaweza kuwa kichaa asijue hilo.

Lowassa, vita ya siasa na udini

Mpendwa msomaji ni karibu wiki mbili sasa sijaandika safu hii. Nimepata simu, ujumbe mfupi (sms) za kutosha – wengi wakiuliza kulikoni mbona siandiki. Niwaondoe hofu, kuwa kila kitu ni salama tu, isipokuwa mitanziko ya hapa na pale.