JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Wabunge wajitahidi kuwa makini bungeni

Juhudi za makusudi zinahitajika haraka kunusuru Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupoteza mvuto na heshima mbele ya jamii.

Nyerere: Utegemezi wa CCM

“Kipimo kingine cha CCM ni kwamba hatujaweza kujitegemea kwa fedha. CCM inapata ruzuku kubwa kutoka serikalini, na maana yake ni kwamba inachukua kodi za wananchi wote, wanachama na wasiokuwa wanachama.”

 

Maneno haya ni ya Baba wa Taifa letu, Mwalimu Julius Nyerere, wakati akihutubia Mkutano Mkuu Maalumu wa CCM Taifa, jijini Dar es Salaam, Agosti 16, 1990.

Inawezekana kuzalisha fedha bila kutumia fedha (2)

Cha kufahamu ni kwamba, nguvu hizi hazitokei kwa bahati mbaya isipokuwa huamriwa na muhusika mwenyewe. Kadiri unavyouchukia umaskini ulionao unajenga nguvu ya kukutoa hapo. Kadiri unavyojenga hamasa ya kupata fedha ama mafanikio makubwa ndivyo nguvu ya kukufikisha huko inavyojengeka ndani yako. Ukijua unapoelekea ni rahisi kutafuta njia ya kukufikisha huko.

Mashabiki sasa wageukia Chalenji

Mashabiki wa soka sasa wamegeukia michuano ya Kombe la Chalenji, itakayoanza kutimua vumbi kwenye Uwanja wa Namboole, Kampala nchini Uganda, Jumamosi wiki hii.

CCM na urais 2015: Tujadili aina za wagombea

Mwaka 2015 si mbali, na kwa mara nyingine tena Watanzania tutapata fursa ya kutumia haki yetu ya kikatiba kumchagua mtu mmoja, ambaye tunaamini kwamba ndiye atakayefaa kutuongoza kama Taifa, katika hiki kipindi kigumu cha uchumi kinachotuathiri kwa miaka zaidi ya 50 sasa.

Dosari, vituko mkutano wa CCM

Licha ya Mkutano Mkuu wa Uchaguzi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kufana, dosari na vituko kadhaa vimechukua nafasi katika mkutano huo unaofanyika kwenye ukumbi wa Kizota, nje kidogo ya mji wa Dodoma.