JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Yah: Naikumbuka TBC ya kweli

 

Wanangu, naamini hamjambo baada ya kupumzika nyumbani na kutafakari maisha yenu ya miaka ijayo na hatima ya kizazi chenu cha dotcom. Sina hakika miaka michache ijayo baada ya dotcom kuzeeka, sijui kutakuwa na kizazi gani?

Mapya yaibuka Tundu Lissu vs majaji vihiyo

*Yumo aliyeghushi umri, atang’atuka mwaka 2017

*Mwingine ahitimu chuo kikuu na kupewa ujaji

Miezi kadhaa baada ya JAMHURI kuchapisha taarifa ya utetezi wa Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (Chadema), kuhusu uteuzi wa majaji wasio na sifa, mbunge huyo ambaye pia ni Mnadhimu Mkuu wa Upinzani na Msemaji Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni wa Wizara ya Katiba na Sheria, wiki iliyopita alijitokeza tena na kutishia kumshitaki Rais Jakaya Kikwete.

JKT ni mtima wa Taifa (2)

Vijana waliongia baada ya wale wa kwanza walipewa majina mbalimbali, maana kazi yao kubwa ilikuwa kujenga Taifa na si kuziba nafasi katika Jeshi la Ulinzi. Novemba 1964 waliingia vijana zaidi ya 400 na hawa waliitwa “Mkupuo Maendeleo” (Operation Maendeleo). Ndiyo hasa waliofungua kambi mbalimbali za uzalishaji mali katika JKT.

Wasemavyo wananchi juu ya ombaomba ya Tanzania

Wiki iliyopita, kwenye safu hii, niliandika makala kuhusu Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kupokea msaada dhalili wa ambulance moja kutoka kwa “Watu wa Marekani”.

Raha ya garimoshi la Mwakyembe

Kama ilivyo kwa nchi nyingine nyingi duniani, sekta ya usafiri wa reli ni muhimu katika kuchangia maendeleo ya kijamii na kiuchumi.

Wabunge wajitahidi kuwa makini bungeni

Juhudi za makusudi zinahitajika haraka kunusuru Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupoteza mvuto na heshima mbele ya jamii.