JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Vituo vya mafuta vinaiba kodi mchana kweupe

Mzee Ali Hassan Mwinyi alipata kusema maneno haya: “ Tanzania ni sawa na kichwa cha mwendawazimu.” Maneno haya aliyasema kwa maana kwamba kichwa cha mwendawazimu kila anayejifunza kunyoa hufanyia hapo mazoezi. Wiki iliyopita nilikuwa Nairobi , Kenya ambako nilikuwa na mafunzo ya wiki zaidi ya mbili. Nikiwa huko kwa mshangao nikakuta Tanzania inamwagiwa sifa.

Bomu la Lowassa: Tumeligundua, tunaliteguaje?

Tumeshaelewa hoja ya Edward Lowassa, nadhani sasa ni wakati wa kuelekeza juhudi zetu katika kutafuta ufumbuzi wa kudumu.

JK kikwazo CCM

*Yabainika ndiye mwasisi wa makundi CCM

*Akemea dhambi iliyomwingiza madarakani

 

Staili ya uongozi wa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Jakaya Kikwete, inatajwa kwamba haitakuwa na msaada mkubwa wa kuiwezesha Sekretarieti mpya kutekeleza ahadi na maazimio ya Mkutano Mkuu wa Nane uliomalizika mjini Dodoma hivi karibuni.

JK kikwazo CCM

*Yabainika ndiye mwasisi wa makundi CCM

*Akemea dhambi iliyomwingiza madarakani

 

Staili ya uongozi wa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Jakaya Kikwete, inatajwa kwamba haitakuwa na msaada mkubwa wa kuiwezesha Sekretarieti mpya kutekeleza ahadi na maazimio ya Mkutano Mkuu wa Nane uliomalizika mjini Dodoma hivi karibuni.

Urais ni Magufuli, Membe, Lowassa

*Wasira,  Mwakyembe, January Makamba nao watajwa kundini

Mkutano Mkuu wa Nane wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) uliomalizika mjini Dodoma wiki iliyopita, umetoa ishara ya baadhi ya wanachama wanaoweza kupeperusha bendera ya chama hicho katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015.

Wazungu Mererani wasalimu amri

Kampuni ya TanzaniteOne Ltd inayochimba madini ya tanzanite katika eneo la Mererani mkoani Manyara, hatimaye kuanzia wiki hii italazimika kuachia asilimia 50 ya hisa zake zimilikiwe na wazalendo, imethibitishwa.