JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Hongera Jamhuri, mmethubutu, mmeonesha njia

 

Naanza kwa kusema chereko chereko na hongera, pia kwa kutamka ‘Congratulations and Celebrations’ kwa gazeti Jamhuri kutimiza mwaka tangu kuingia sokoni mnamo Disemba 6, 2011 hadi leo. Vilevile natoa heko kwa waandishi wa habari kuliendesha gazeti hili hadi sasa, kwa umakini na utulivu, ndani ya soko la usambazaji wa habari kwa jamii.

Labour yaanza kuchukua nchi rejareja

Mzee wa Kiraracha aliposhinda uchaguzi mdogo wa ubunge wa Temeke mwaka 1996 alisema ameanza kuichukua nchi kirejareja. Lyatonga Mrema alikuwa ndio ametoka kushindwa uchaguzi wa rais na William Benjamin Mkapa, ndipo ‘kihiyo’ akatokea pale Temeke akachukuliwa na maji ya fitna za kisiasa na uchaguzi ukaitishwa.

Yah: Nimeoteshwa ndoto ni nani rais ajaye?

Wanangu, leo najua ni Jumanne nyingine ambayo mtakuwa mnatafakari mustakabali wa maisha yenu baada ya kuwa kila siku inayopita mnaona nafuu ya jana. Haya yote yawezekana ni kutokana na kosa lenu la kupiga kura katika kumchagua kiongozi wako kuanzia ngazi ya tawi hadi juu kabisa.

 

Asanteni Watanzania, tumethubutu, tuungeni mkono

Wiki hii Kampuni ya Jamhuri Media Limited inaandika historia ya kipekee. Juni 28, 2011 kwa ushirikiano wa waandishi wa habari wanne, tulisajili kampuni ya Jamhuri Media Limited. Oktoba 5, 2011 tulipata usajili wa Gazeti Jamhuri. Desemba 6, tukachapisha nakala ya kwanza ya Gazeti Jamhuri. Ni wazi basi, kuwa wiki hii tunahitimisha mwaka mmoja na nusu wa kampuni kusajiliwa, lakini pia tunatimiza mwaka mmoja wa kuendesha Gazeti Jamhuri.

Butoto atamani maendeleo Kabilizi

“Nina karibia kustaafu na kutoka mjini nirudi kijijini nikaungane kimawazo na kivitendo na wananchi wenzangu kuikomboa Kata ya Kabilizi katika Jimbo la Muleba Kusini.’’

Wadau wapewa changamoto kuhusu uchimbaji uranium

Waandishi wa habari na wadau wengine wamepewa changamoto ya kuishawishi Serikali kuangalia uwezekano wa kusitisha uchimbaji wa madini ya uranium na mwingineo usiozingatia ulinzi wa afya za binadamu nchini.