JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

NHC yazidi kujiimarisha

*Kasi ujenzi nyumba za makazi, vitegauchumi yaongezeka

*Nyumba 1,000 kwa wenye kipato kidogo kujengwa mikoa 14

Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) linaendelea kutimiza dhima ya kuanzishwa kwake kwa kuhakikisha linatekeleza miradi mbalimbali ya ujenzi wa nyumba za makazi na vitega uchumi.

Kwa sasa NHC imekamilisha baadhi ya miradi, mingine inaendelea na pia imejiwekea mpango mkakati wa kuendelea na ujenzi wa nyumba kwa mahitaji mbalimbali nchini.

JKT ni mtima wa Taifa (5)

 

JKT ni mtima wa Taifa (5)Napenda kukumbusha wahusika kuwa wakati utaratibu wa kuwaita vijana kwa mujibu wa sheria ukiandaliwa katika ile (White Paper No. 2 ya mwaka 1966), katika ibara ya 9, kulianishwa masomo ya kuwafundisha vijana wote katika JKT.

Tamaa ya utajiri yachochea ushirikina migodini Geita

“Ushirikina huku Geita ni mkubwa, wachimba madini wengi wanaamini hawawezi kufanikiwa bila kufanya ushirikina, ndio maana kuna vitendo vya mauaji ya alibino na kukata viungo vyao.”

Hiyo ni kauli ya mchimbaji mdogo wa dhahabu katika mgodi wa Nyarugusu alipozungumza na JAMHURI hivi karibuni, kuhusu ukubwa wa imani za ushirikina kwa wachimbaji wadogo wa madini mkoani Geita.

Chadema jiepusheni na migogoro

Katika toleo la leo tumechapisha habari zinazoonyesha kuwa kuna mgogoro mkubwa unaofukuta ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Mgogoro huu unatajwa kutokana na makundi makubwa matatu yenye kutaka ukuu ndani ya chama hicho. Kundi la kwanza ni la Mwenyekiti Freeman Mbowe. Kundi hili linadaiwa kuukodolea macho urais baada ya kuona kuwa Chadema sasa inakubalika.

Kwa hili nasimama na David Cameron

NAANDIKA makala hii nikiwa jijini Manchester kwa shughuli maalumu ya kimichezo, nikiwa mdau kiasi. Naandika nikiwa bado na tafakari nzito na hofu juu ya hali ya vyombo vya habari vya Uingereza huko tuendako.


Vita mpya ya Nape, Mnyika

Kumekuwapo mvutano kati ya CCM na Chadema kuhusu uamuzi wa CCM kuwaita viongozi wa taasisi mbalimbali za umma, kujieleza kwenye mikutano ya chama hicho. Chadema wanapinga uamuzi huo. Nnape Nnauye (CCM) na John Mnyika (Chadema) wameingia kwenye malumbano. Hii ni moja ya sehemu ya malumbano hayo.