JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

RATIBA YA LIGI KUU YA UINGEREZA

Jumatano 26, December 2012: 15:00 Arsenal v West Ham Emirates Stadium 15:00 Aston Villa v Tottenham Villa Park 15:00 Everton v Wigan Goodison Park 15:00 Fulham v Southampton Craven Cottage 15:00 Man Utd v Newcastle Old Trafford 15:00 Norwich v…

Bravo Toure, Drogba, Song

Gazeti Jamhuri linaungana na wadau mbalimbali wa mchezo wa mpira wa miguu (soka) barani Afrika kama si duniani kuwapongeza wachezaji viunga mahiri, Yaya Toure, Didier Drogba na Alex Song kwa kutwaa ushindi wa Tuzo ya Mchezaji Bora barani Afrika.

Muungano ndiyo mboni ya Tanzania (2)

Kwa akili za kawaida kabisa, mtu unajiuliza kwani huo uislamu au ukabila umejikita katika mkoa wa mjini magharibi tu? Kwani Zanzibar na Pemba ni mkoa huo huo mmoja tu? Mbona kiserikali tunajua iko mikoa mitano Visiwani? Mjini Magharibi, Mkoa wa Kusini Unguja, Mkoa wa Kaskazini Unguja kuna Chakechake kule Pemba na Mkoani kule Kusini Pemba ?

Watanzania tuache woga kudai haki

  Wiki mbili zilizopita, niliamua kubadili utaratibu wa kutumia usafiri wa daladala, nikachagua kutumia gari moshi (treni) kwenda kazini na kurudi nyumbani jijini Dar es Salaam.   Siku moja, takriban dakika nne baada ya kuondoka kituo cha Ubungo Maziwa kuelekea…

Serikali isipuuze, udini upo, iuthibiti (5)

Kiongozi mwingine wa tatu wa dini ambaye ni vizuri kumsoma katika falsafa na kauli zake mbele ya Mwenyezi Mungu, ni Mwenyekiti Kamara Kasupa.

Mauaji yanauchafua mkoa wa Mara

Mauji ya raia wasiokuwa na hatia yanaendelea mkoani Mara. Kwa miaka mingi Wilaya ya Tarime ndiyo iliyosifika kwa vitendo hivyo.