JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Dawa maarufu ya kupunguza uzito yaanza kuuzwa China

Kampuni ya Novo Nordisk imezindua dawa yake ya kupunguza uzito ya Wegovy nchini China baada ya kuidhinishwa na mamlaka ya afya mwezi Juni. Zaidi ya watu milioni 180 wanaishi na uzito wa kupindukia nchini China, ambayo ina idadi ya watu…

Maaskofu wa Kanisa Katoliki wakataa mchango wa Ruto

Jimbo kuu la Kanisa Katoliki Nairobi limesisitiza kujitolea kwake kuzingatia sera ya Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki nchini Kenya (KCCB) kuhusu michango ya kisiasa kanisani. Hapo juzi, Jimbo Kuu lilitangaza kukataliwa kwa michango kadhaa iliyotolewa katika Kanisa Katoliki la…

Ulaya: Tutaongeza juhudi za kuzisaidia nchi masikini

Mjumbe wa Umoja wa Ulaya anayeshughulikia maswala ya mabadiliko ya tabia nchi Wopke Hoekstra amesema jumuiya hiyo itaongoza katika kutoa fedha kwa nchi masikini kupambana na ongezeko la joto duniani. Hoekstra, amesema hayo leo Jumatatu na kuongeza kuwa nchi zote…

Mwakinyo ashuka chini ya jengo kuokoa watu Kariakoo

Na Isri Mohamed Bondia Hassan Mwakinyo ametembelea soko la Kariakoo katika eneo lililopata maafa ya ghorofa kuporomoka na kujionea hali halisi ilivyo. Mwakinyo ametembelea usiku wa kuamkia leo ambapo mbali ametoa msaada ya kushuka chini ya jingo na kuongeza nguvu…

DC Mgomi: Yatumieni mafunzo mliyopewa kulinda amani ya nchi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Songwe MKUU wa Wilaya ya Ileje, mkoani Songwe, Farida Mgomi ametoa wito kwa wahitimu wa mafunzo ya Jeshi la Akiba kushiriki kikamilifu katika suala zima la utunzaji wa amani hasa kipindi hiki ambacho Nchi inaelekea katika…

Rais Samia aongoza muda wa uokoaji Kariakoo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amemuelekeza Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa Majaliwa kuongeza saa 24 za uokoaji katika jengo lililoporomoka eneo la Kariakoo. Rais Dkt. Samia ametoa maelekezo…