Latest Posts
Mwenyekiti Musukuma apuuzwe
Magazeti kadhaa yameripoti kwamba Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Geita, Joseph Musukuma, amewaambia wajumbe wa Halmashauri ya Kijiji cha Nyawilimilwa kilichopo Kata ya Kagu, kwamba hatakuwa tayari kupeleka maendeleo katika kata hiyo kwa sababu inaongozwa na Diwani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).
Serikali isipuuze, udini upo, iudhibiti – 3
Wote tunakubali kuwa elimu ni ufunguo wa maisha. Kumnyima mtu au kundi moja ni sawa kumnyima mtu au kundi hilo maendeleo ya maisha yeke au yao katika uchumi madaraka, ajira na tija nyinginezo.
Mashindano ya Miss Tanzania yafutwe
Wakati huu wa harakati za kutoa maoni ya Katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ni wakati mwafaka kutafakari kama mashindano ya ‘Miss Tanzania’ yanaikosea Tanzania. Mwaka 1964 Serikali ilipiga marufuku mashindano hayo lakini yakaibuka kinyemela mwaka 1994 kwa mfano wa Azimio la Zanzibar, lililoibuka mwaka 1992 bila mwafaka wa kitaifa, na kuathiri Azimio la Arusha lililozaliwa mwaka 1967.
EfG inavyopinga ukatili kwa wanawake
Shirika lisilo la Serikali la Kuwezesha Wanawake Kibiashara (EfG) Tanzania, limekuwa mstari wa mbele kusaidia wafanyabiashara wasio katika sekta rasmi, ikiwa ni juhudi za kuinua nafasi zao katika nyanja mbalimbali ikiwemo ya kiuchumi.
Je, ushirikina unafanikisha biashara?
Mapema mwaka huu nilikuwa miongoni mwa maelfu ya wakazi wa mji wa Iringa, waliokwenda kushuhudia sakata la misukule katika Frelimo, iliyodaiwa kuwa kwenye nyumba ya mama mmoja mfanyabiashara maarufu mjini hapa. Licha ya kufika mapema sana eneo hilo lakini sikubahatika kuona misukule!
NHC yazidi kujiimarisha
*Kasi ujenzi nyumba za makazi, vitegauchumi yaongezeka
*Nyumba 1,000 kwa wenye kipato kidogo kujengwa mikoa 14
Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) linaendelea kutimiza dhima ya kuanzishwa kwake kwa kuhakikisha linatekeleza miradi mbalimbali ya ujenzi wa nyumba za makazi na vitega uchumi.
Kwa sasa NHC imekamilisha baadhi ya miradi, mingine inaendelea na pia imejiwekea mpango mkakati wa kuendelea na ujenzi wa nyumba kwa mahitaji mbalimbali nchini.
Habari mpya
- Mashindano ya kuogelea kitaifa yafana Dar
- Mabweni ya kuchukua wanafunzi 12,000 kujengwa kwa ubia Dar
- Trump anusurika jaribio jingine la mauaji
- Serikali kutumia bilioni 830 kukabiliana na athari za el nino
- Padri Kitima : Ninyi nyote ni ndugu, mkaishi kwa upendo
- Serikali kujenga upya daraja la Mbwemkuru , Nakiu Lindi
- JWTZ waibuka mshindi wa jumla mashindano ya BAMMATA
- Waziri Bashe: Rais Samia hana deni kwa Watanzania katika sekta ya kilimo
- Tuvumiliane na kuheshimiana kama Watanzania -Dk Biteko
- Askofu Bagonza : Mfumo uliopo unaruhusu kupiga kura na si kuchagua
- Rais wa Komoro aliyeshambuiwa na Polisi kwa kisu anaendelea vyema
- Watu 37 wahukumiwa kifo kwa jaribio la mapinduzi DRC
- Tanzania yang’ara Tamasha la Mabalozi Uholanzi 2024
- Waziri Mavunde awataka Watanzania kuchangamkia manunuzi ya bidhaa ya trilioni 3.1 migodini
- Dk Biteko ahimiza wanawake kutumia mifuko ya uwezeshaji wananchi kiuchumi