JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

NUKUU ZA WIKI

 

Mwalimu Nyerere: Tukatae mawazo ya kipumbavu

“Watu tunaafikiana na wazo, lakini mawazo ambayo waziwazi ni ya kijinga lazima tuyakatae. Mtu mwenye akili timamu akikupa mawazo ya kipumbavu, usipoyakataa anakudharau. Sasa hatuwezi kukubali mambo ya kipumbavu Tanzania.”

Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere, aliyasema haya kuhimiza watu kuwa makini katika kupokea mawazo ya wengine.

RATIBA YA LIGI KUU YA UINGEREZA

Jumamosi 19 Januari 2013: 12:00 – Chelsea v Arsenal Stamford Bridge 12:00 – Liverpool v Norwich Anfield 12:00 – Man City v Fulham Etihad Stadium 12:00 – Newcastle v Reading Sports Direct Arena 12:00 – Southampton v Everton St. Mary’s…

Afrika Kusini, Cape Verde kufungua CAN

Timu za soka Afrika Kusini na Cape Verde zimepangwa kukwaana katika mechi ya ufunguzi wa fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (CAN), Januari 19, mwaka huu, nchini Afrika Kusini.

Alliance ya Mwanza yatwaa ubingwa Uganda

Timu ya soka Alliance ya jijini Mwanza, inayoundwa na wachezaji wenye umri chini ya miaka 11, imetwaa ubingwa wa mashindano yaliyozishirikisha nchi tisa.

Yah: Jamani sasa napenda kuwa rais wa nchi yangu.

Najua ili uweze kuwa rais wa nchi hii, katiba inakutaka uchaguliwe na chama chako kwa kura zinazotosha na upitishwe kwa vigegele na mkutano mkuu wa chama  kwamba wewe unafaa kuwa kiongozi baada ya wenzako kuthibitisha kuwa hutawaangusha, lakini pia wenzako haohao ndio wanaokutayarishia kaulimbiu ya kuingia nayo katika ushindani uweze kuwashinda wapinzani wako.

Ujasiriamali ni ajira kamili (2)

Ninachokipenda sana katika ujasiriamali (katika mifumo rasmi), ni ile hali ya mtu kuwa na uwezo wa kutengeneza kipato kikubwa pasipo kufanya kazi zaidi na zaidi.