Latest Posts
Mkutano wa COP29 waleta neema Tanzania
Mkutano wa 29 wa nchi Wanachama wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi (COP-29) umeendelea kuiletea manufaa Tanzania hususan katika hifadhi ya mazingira. Hayo yameelezwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira…
Waziri Bashungwa aiagiza TANROADS kufunga mizani mitatu Tunduma, ashuhudia foleni ya malori
Na Mwandishi wetu, JamhuriMedia, Songwe 📌 Ashuhudia foleni kubwa ya Malori Tunduma 📌 Atoa mwezi mmoja ujenzi wa kituo cha maegesho Chimbuya kukamilishwa 📌 Aagiza upembuzi kufanyika ili kujenga barabara ya Mchepuo, magari yanapita kwa kupokezana Waziri wa Ujenzi, Innocent…
Mtendaji wa kijiji jela miaka 20 kwa kosa la uhujumu uchumi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Songwe Mahakama ya Wilaya ya Songwe imemhukumu Bw. Assan Jacob Kalinga aliyekuwa Mtendaji wa Kijiji cha Mbuyuni H/W ya Songwe, adhabu ya kwenda Jela miaka Ishirini (20). Adhabu hiyo imetolewa kwa Kosa la ufujaji na ubadhirifu…
CCM yasambaza viongozi na makada waandamizi nchi nzima
Ni uzinduzi wa kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Katibu Mkuu Balozi Nchimbi kuongoza kampeni hizo Yaonesha umuhimu wa uchaguzi na dhamira ya kufikia wananchi moja kwa moja Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John…
Stars leo afe kipa, afe beki..
Na Isri Mohamed Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) leo Novemba 19, 2024 itashuka dimbani Benjamin Mkapa kwenye mchezo wa mwisho wa kuwania kufuzu kombe la Mataifa Afrika AFCON 2025 dhidi ya Guinea utakaopigwa saa kumi jioni. Stars ambayo…
President Samia poses tough questions at G20
By Deodatus Balile, Rio de Janeiro, Brazil President Samia Suluhu Hassan delivered a historic speech at the G20 Summit, posing tough questions to world leaders including U.S. President Joe Biden, Chinese President Xi Jinping, UK Prime Minister Keir Starmer, and…