Latest Posts
Mtwara wapewe asilimia mbili
Kwa muda wa mwezi mzima wananchi wa Mkoa wa Mtwara wapo kwenye maandamano. Maandamano haya yanaelekea kulifikisha taifa katika uvunjifu wa amani. Wananchi wanatumia nguvu, na kuna uwezekanao Serikali nayo itafika mahala itaishiwa uvumilivu itaanza kutumia nguvu. Mungu apishe mbali.
Zitto, wanasiasa mnatenda dhambi mtakayoijutia
Kwa mwezi mzima sasa Taifa letu limegubikwa na vurugu za umiliki wa gesi. Wakazi wa Mkoa wa Mtwara wakiongozwa na propaganda za Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, ambaye sasa anazungumza lugha za malaika akidai anawatetea wananchi wa Mtwara, wanachimba mtaro kwa ajili ya mkondo wa maafa.
NICOL yamsafisha Mengi
Kampuni ya Taifa ya Uwekezaji (NICOL), imemsafisha mfanyabiashara maarufu nchini, ambaye ni Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni za IPP, Reginald Mengi kuhusu tuhuma za kuidhoofisha kampuni hiyo.
MAONI YA KATIBA MPYA YA TANZANIA
Chadema: Tunataka Serikali tatu – 3
Wiki iliyopita tulikuletea sehemu ya pili ya maoni ya Chadema waliyowasilisha kwenye Tume ya Mabadiliko ya Katiba. Leo tunakuletea sehemu ya tatu ya na ya mwisho ya maoni yao. Endelea…
TAKUKURU yawahoji watuhumiwa TTCL
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (TAKUKURU) imeanza rasmi kazi ya kuwahoji viongozi juu wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL).
RATIBA YA AFCON 2013
Jumanne 22 Januari 2013:
Ivory Coast vs Togo 11:00 jioni
Tunisia vs Algeria 2:00 usiku
- Rais Samia awaapisha viongozi mbalimbali
- TEF yapongeza uteuzi Bodi ya Ithibati ya Wanahabari
- Waziri Mkuu amwakilisha Rais Samia Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa
- Vituo vya zana za kilimo kujengwa nchi nzima, wanaowanyonya wakulima kukiona
- Serikali kuendelea kutekeleza mkakati wa nishati safi ya kupikia
Habari mpya
- Rais Samia awaapisha viongozi mbalimbali
- TEF yapongeza uteuzi Bodi ya Ithibati ya Wanahabari
- Waziri Mkuu amwakilisha Rais Samia Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa
- Vituo vya zana za kilimo kujengwa nchi nzima, wanaowanyonya wakulima kukiona
- Serikali kuendelea kutekeleza mkakati wa nishati safi ya kupikia
- Waziri Jafo ataka wananchi kuacha kuchanganya mazao
- Asilimia 75 ya Watanzania wanatumia simu za mkononi, milioni 35 wanatumia mtandao wa intanenti
- Uvimbe uliomtesa kwa miaka 10 watolewa na mabingwa wa Rais Samia
- TASAC yakabidhiwa boti na Ofisi ya Waziri Mkuu kuimarisha ulinzi wa bahari
- TAEC kuwa mlezi wa programu maalum ya diploma masomo ya teknolojia ya nyuklia
- Lukuvi : Rais Samia hana deni huduma ya maji Ubungo
- Mashindano ya kuogelea Afrika kufanyika Z’bar
- Waziri Bashe awataka wakulima, wafugaji kuishi kwa amani
- Matumizi ya TEHAMA mahakamani yamesaidia kupunguza mrundikano wa mashauri – Prof. Gabriel
- Makonda abaini upotevu wa bil 1.3/- sekondari ya wasichana Longido