Latest Posts
Huhitaji mtaji kuanzisha biashara!
Miaka ya karibuni, dhana ya ujasiriamali imeenea kwa kasi kubwa miongoni mwa wanajamii. Kwa sasa kila kona tunasikia ujasiriamali – kanisani, mitaani, vyuoni na katika mikutano ya kisiasa kunahubiriwa ujasiriamali. Hata hivyo, kuna kibwagizo kinachojirudia kila zinapotajwa changamoto za ujasiriamali – ukosefu wa mitaji!
MAONI YA KATIBA MPYA
Dk. Kamani: Mahakama isiwe juu ya sheria nchini
Mbunge wa Busega mkoani Simiyu Dk. Titus Kamani (CCM), amependekeza pamoja na mambo mengine, Katiba mpya idhibiti uhuru wa Mahakama na kuruhusu uundaji chombo maalumu cha kuwabana wahujumu uchumi.
FASIHI FASAHA
Tunakubali rushwa ni adui wa haki? (2)
Juma lililopita, nilielezea madhumuni ya Serikali kuunda Tume ya Kero ya Rushwa, na nilionesha matatizo makuu mawili yaliyoikabili katika harakati za kubaini kero ya rushwa nchini.
FIKRA YA HEKIMA
Miradi ya kiuchumi inaua lengo la dini?
Imani za kishirikina zimeendelea kushika kasi nchini, kiasi cha watu wengi kuamini kuwa dini zimeweka kando majukumu ya kiroho na kujikita katika miradi ya kiuchumi.
Utawala bora hutokana na maadili mema (1)
Hivi karibuni Taifa letu la Tanzania limesherehekea sikukuu mbili muhimu na za kihistoria. Bara tulikuwa na sherehe za miaka 51 ya Uhuru wa Taifa letu Desemba 9, 2012 na Zanzibar tulikuwa na sherehe za miaka 49 ya Mapinduzi, Januari 12, 2013. Ni sikukuu za kihistoria maana bila kupata Uhuru toka kwa mkoloni na bila kumpindua Sultan sidhani kama tungekuwa na Jamhuri hii ya Muungano wa Tanzania .
EU itaisumbua sana Uingereza hii
Uamuzi wa Uingereza kupiga kura ya maoni kuwa ndani au nje ya Umoja wa Ulaya (EU) unaogopesha. Watu wanaweza kuona ni kitu kidogo hapa au hapo nyumbani, lakini ukizama kwa kina unaona kwamba tayari kuna mtetemeko kwenye sekta mbalimbali za jamiii.
- Rais Samia awaapisha viongozi mbalimbali
- TEF yapongeza uteuzi Bodi ya Ithibati ya Wanahabari
- Waziri Mkuu amwakilisha Rais Samia Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa
- Vituo vya zana za kilimo kujengwa nchi nzima, wanaowanyonya wakulima kukiona
- Serikali kuendelea kutekeleza mkakati wa nishati safi ya kupikia
Habari mpya
- Rais Samia awaapisha viongozi mbalimbali
- TEF yapongeza uteuzi Bodi ya Ithibati ya Wanahabari
- Waziri Mkuu amwakilisha Rais Samia Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa
- Vituo vya zana za kilimo kujengwa nchi nzima, wanaowanyonya wakulima kukiona
- Serikali kuendelea kutekeleza mkakati wa nishati safi ya kupikia
- Waziri Jafo ataka wananchi kuacha kuchanganya mazao
- Asilimia 75 ya Watanzania wanatumia simu za mkononi, milioni 35 wanatumia mtandao wa intanenti
- Uvimbe uliomtesa kwa miaka 10 watolewa na mabingwa wa Rais Samia
- TASAC yakabidhiwa boti na Ofisi ya Waziri Mkuu kuimarisha ulinzi wa bahari
- TAEC kuwa mlezi wa programu maalum ya diploma masomo ya teknolojia ya nyuklia
- Lukuvi : Rais Samia hana deni huduma ya maji Ubungo
- Mashindano ya kuogelea Afrika kufanyika Z’bar
- Waziri Bashe awataka wakulima, wafugaji kuishi kwa amani
- Matumizi ya TEHAMA mahakamani yamesaidia kupunguza mrundikano wa mashauri – Prof. Gabriel
- Makonda abaini upotevu wa bil 1.3/- sekondari ya wasichana Longido