JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Huhitaji mtaji kuanzisha biashara!

Miaka ya karibuni, dhana ya ujasiriamali imeenea kwa kasi kubwa miongoni mwa wanajamii. Kwa sasa kila kona tunasikia ujasiriamali –  kanisani, mitaani, vyuoni na katika mikutano ya kisiasa kunahubiriwa ujasiriamali. Hata hivyo, kuna kibwagizo kinachojirudia kila zinapotajwa changamoto za ujasiriamali – ukosefu wa mitaji!

MAONI YA KATIBA MPYA

Dk. Kamani: Mahakama isiwe juu ya sheria nchini

Mbunge wa Busega mkoani Simiyu Dk. Titus Kamani (CCM), amependekeza pamoja na mambo mengine, Katiba mpya idhibiti uhuru wa Mahakama na kuruhusu uundaji chombo maalumu cha kuwabana wahujumu uchumi.

FASIHI FASAHA

Tunakubali rushwa ni adui wa haki? (2)

Juma lililopita, nilielezea madhumuni ya Serikali kuunda Tume ya Kero ya Rushwa, na nilionesha matatizo makuu mawili yaliyoikabili katika harakati za kubaini kero ya rushwa nchini.

FIKRA YA HEKIMA

Miradi ya kiuchumi inaua lengo la dini?

Imani za kishirikina zimeendelea kushika kasi nchini, kiasi cha watu wengi kuamini kuwa dini zimeweka kando majukumu ya kiroho na kujikita katika miradi ya kiuchumi.

Utawala bora hutokana na maadili mema (1)

Hivi karibuni Taifa letu la Tanzania limesherehekea sikukuu mbili muhimu na za kihistoria. Bara tulikuwa na sherehe za miaka 51 ya Uhuru wa Taifa letu Desemba 9, 2012 na Zanzibar tulikuwa na sherehe za miaka 49 ya Mapinduzi, Januari 12, 2013. Ni sikukuu za kihistoria maana bila kupata Uhuru toka kwa mkoloni na bila kumpindua Sultan sidhani kama tungekuwa na Jamhuri hii ya Muungano wa Tanzania .

EU itaisumbua sana Uingereza hii

Uamuzi wa Uingereza kupiga kura ya maoni kuwa ndani au nje ya Umoja wa Ulaya (EU) unaogopesha. Watu wanaweza kuona ni kitu kidogo hapa au hapo nyumbani, lakini ukizama kwa kina unaona kwamba tayari kuna mtetemeko kwenye sekta mbalimbali za jamiii.