JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Wafanyakazi OSHA kuanika uovu leo

 

Malalamiko ya wafanyakazi wa Mamlaka ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) dhidi ya Mtendaji Mkuu wao huenda yakapatiwa ufumbuzi leo katika mkutano na viongozi wa ngazi za juu.

Mwekezaji wa Kapunga Mbeya shakani

Uhusiano kati ya Mwekezaji wa Shamba la Kapunga (Kapunga Rice Company) lililopo Wilaya ya Mbarali mkoani hapa na wananchi umezidi kufifia kutokana na matukio yanayozidi kumwandama.

Wanasiasa sasa waliteka Bunge

*Walitumia kujinyooshea mapito kuelekea Uchaguzi Mkuu 2015

Bunge la Kumi la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limemalizika wiki iliyopita huku kwa kiasi kikubwa likionekana kugeuzwa kuwa jukwaa la siasa.


Wabunge kutoka vyama vya siasa, hususan Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Chama Cha Mapinduzi (CCM) wameonekana kulitumia Bunge hilo kutafuta umaarufu wa kisiasa kwa wananchi. Wabunge kutoka katika vyama hivyo wameweka maslahi ya taifa pembeni na kukumbatia itikadi za vyama vyao.

Zitto amuumbua Spika

MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema), amesema Spika Anne Makinda, asipodhibitiwa, ataiua nchini kutokana na uongozi wake wa kiimla.

NUKUU ZA WIKI

Nyerere: Viongozi wabovu hulizwa na matatizo

“Viongozi wabovu wenye mioyo ya kuku, hulizwa na matatizo; bali watu madhubuti, wenye mioyo thabiti, hukomazwa nayo… hatima ya nchi yetu ni jukumu letu. Kwa pamoja tunaweza kuisaidia nchi yetu kusonga mbele kuelekea kwenye haki zaidi na usawa zaidi kwa Watanzania wote.”


Haya ni maneno ya Baba wa Taifa letu, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

RATIBA YA LIGI KUU TANZANIA BARA

Jumamosi Februari 9, 2013 Mtibwa Sugar Vs Azam FC Toto Africans Vs Coastal Union Kagera Sugar Vs Mgambo JKT TZ Prisons Vs African Lyon JKT Oljoro Vs Simba SC