JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mgodi wahatarisha afya za watu

Mamia ya wananchi wanaoishi jirani na Mgodi wa Dhahabu wa North Mara (NMGM) unaomilikiwa na African Barrick Gold (ABG), wako katika hatari ya kuugua saratani ya mapafu, damu na kuwa viziwi.

CAG akwazwa na sheria

Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utouh ametoboa siri kwamba utendaji kazi wa ofisi yake umekuwa ukikwazwa na sheria za nchi.

Lema asiwe Mkatoliki kuliko Papa

Februari Mosi Mwaka huu, Jiji la Arusha limezindua kampeni ya kudumu ya usafi wa mazingira. Tayari baadhi ya mitaa ya jiji hilo imeanza kupendeza.

Mradi huo unaohusisha ukarabati wa barabara, mitaro, dampo, taa za barabarani na za

Elimu imetushinda, sasa tujaribu ujinga

Wiki iliyopita nimesikiliza kwa umakini mkubwa mjadala uliokuwa unaendelea katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Nimemsilikiza Mbunge wa Kuteuliwa rafiki yangu, James Mbatia, alivyokuwa aking’ang’ana na ‘Serikali Sikivu’ kuwaeleza kuwa mtaala unaofundishwa sasa unatupeleka shimoni.

Wastaafu UDSM waendelea ‘kulizwa’

Wastaafu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) wanaendelea kuhangaikia madai ya mapunjo ya mafao yao, safari hii wakidhamiria ‘kumwangukia’ Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha.

Askari alalamikiwa kubaka wanawake

Wizara ya Maliasili na Utalii imekumbwa na kashfa nyingine. Safari hii askari wanyamapori wa Hifadhi ya Taifa ya Serengeti (SENAPA) na Pori la Akiba la Kijereshi wilayani Busega mkoani Simiyu, wakituhumiwa kubaka wanawake.