JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Kasi yetu ya kuchimba dhahabu inatisha, idhibitiwe

Mikataba ya kuchimba dhahabu hapa nchini ilianza kusainiwa na Serikali ya Awamu ya Tatu chini ya Mzee Benjamin William Mkapa.

Bunge linataka kumpoka Mungu madaraka

Kwa masikitiko makubwa, nimepokea taarifa ya Katibu wa Bunge, Dk. Thomas Kashilila ya Februari 13, 2013 kuwa Bunge linakusudia kuzuia urushaji wa matangazo ya moja kwa moja (live) ya redio na televisheni kutoka bungeni. Dk. Kashilila amesema ni kosa pia kuwapiga picha wabunge wakiwa wamesinzia bungeni.

Silaa: Nawakilisha vijana CC

Msatahiki Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa, amesema anamshukuru Mungu, Rais Jakaya Kikwete na wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC-CCM), kwa kumchagua kwa kishindo kuingia katika Kamati Kuu (CC) ya chama hicho.

Ushirikina washika kasi Mbeya

Wimbi la ushirikina limezidi kushika kasi mkoani Mbeya kutokana na kuripotiwa kwa matukio mbalimbali yanayoashiria vitendo hivyo ikiwemo ya uchomaji moto nyumba za watu na wengine kuzikwa wakiwa hai.

Mgiriki aiweka ‘Serikali’ mfukoni

*Aingia Selous kuua wanyamapori

 

Raia wa Ugiriki, Pano Calavrias, aliyeghushi uraia wa Tanzania na kisha kuhukumiwa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam,  mwaka 2010 kwa kosa la kukutwa na hati ya kusafiria ya Tanzania kinyume cha sheria, yupo nchini akiendelea na uwindaji wa kitalii.

Mgogoro mpya CCM

*Viongozi waendelea kufitiniana kupata urais, ubunge 2015

*Kinana aonya, akemea wabunge wasiokwenda majimboni

*Aikubali hoja ya Dk. Slaa, ataka wawekezaji feki watimuliwe

*Ataka wagombane kuboresha maisha ya watu si kuingia Ikulu

Mgogoro mpya wenye sura ya kuwania madaraka ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kama uliotokea mwaka 2007 ukaivunja Serikali, sasa unafukuta upya katika hatua tatu tofauti, JAMHURI imebaini.