Latest Posts
Bilioni 4.5 kutumika kwenye miradi ya maji kwa vijiji 17 Bukoba
Wakala wa Majisafi na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) wanaendelea kutekeleza miradi ya maji yenye thamani ya Sh bilioni 4.5 katika Halmashauri ya Bukoba ambayo itanufaisha vijiji 17 na wananchi 29,000. Meneja wa Ruwasa Halmashauri ya Bukoba, Evarsta Mgaya amesema kuwa miradi hiyo ni…
Wanajeshi wa Congo wafikishwa kizimbani kwa tuhuma za ubakaji na mauaji
Wanajeshi wa Congo wakiwa na mchanganyiko wa nguo za kijeshi na za kawaida, walijaa kwenye kanisa wiki iliyopita kujibu mashtaka ya uhalifu ikiwa ni pamoja na ubakaji na mauaji yanayodaiwa kufanywa walipokuwa wakikimbia waasi wa M23. Kauli zao wakati wa…
Tume ya Madini yajivunia mafanikio ya makusanyo ya maduhuli
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, Mhandisi Ramadhani M. Lwamo amesema kiwango cha makusanyo ya maduhuli ya Serikali kimepanda kutoka Shilingi bilioni 624.61 zilizokusanywa Mwaka wa Fedha 2021/2022 hadi kufikia Shilingi bilioni 753.82 kwa Mwaka…
Aliyebuni jina la Tanzania afariki
Mbunifu wa jina la Tanzania, Mohammed Iqbal Dar afariki Dunia nchini Uingereza. Mohamed Iqbal Dar amefariki Dunia huko Birmingham Uingereza. Atakumbukwa Kwa mafanikio ya kuchagua jina jipya la jamhuri ya muungano wa tanganyika na zanzibar yaani. “Jamhuri ya Tanzania” wakati…
Hospitali ya Benjamin Mkapa yapiga hatua kwenye huduma za kibingwa, ubingwa wa juu
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMediaDodoma Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH)imesema kwa kutumia falsafa ya 4Rs (Reforms, Rebuilding, Reconciliation na Resilience,), imepanua huduma za kibingwa kutoka 14 hadi 20 na huduma za ubingwa wa juu kutoka 7 hadi 16. Hayo yameelezwa leo Machi…
Papa Francis akumbwa na tatizo la kushindwa kupumua mara mbili
PAPA Francis yuko macho baada ya kukumbwa na matukio mawili ya ‘kushindwa kupumua’ siku ya Jumatatu alasiri, imesema Vatican. Madaktari walilazimika kuingilia kati ili kuondoa kamasi kwenye mapafu ya Papa, imesema taarifa kutoka serikali kuu ya Vatican ya Holy See,…