JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

FASIHI FASAHA

Kuchinja nyama ni sababu ya kufarakana?

Sikilizeni maneno, wasanii tunayosema, jiepusheni navyo vitendo vitakavyotutenganisha, kufarakana, kuchukiana kumeshaanza, kukamiana kutukanana sasa ni sera, Watanzania kuweni macho, Taifa linakwenda pabaya tutakuja jijutia.

FIKRA YA HEKIMA

Wengine waige Vodacom kuwajali wafanyakazi

Kampuni ya Vodacom Tanzania ni mfano mzuri wa kuigwa, katika uwasilishaji wa makato ya fedha za wafanyakazi wake kwenye Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF).

Ni ujinga CHADEMA kupinga uzazi wa mpango – (3)

Fikiria maisha ya mijini, vyumba vya kupanga utaishia kulaza watoto wanne katika chumba kimoja, katika kitanda kimoja na ndani ya chandarua kimoja. Lakini pia katika maisha ya vijijini gharama zimepanda hata kama unaishi kwenye nyumba yako.

Umoja wa Tanzania ni propaganda

Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere,  alituasa kwamba tufanye juhudi kuziba ufa mkubwa uliojitokeza katika Muungano wa Tanzania Bara na Tanzania Zanzibar, na kuendelea kuainisha nyufa nyingine. Lakini ni kama hatukumsikiliza na kumjali.

Tutaijutia amani tunayoichezea

Kwa muda wa mwezi sasa nchi yetu ipo katika migogoro isiyomithilika. Yamekuwapo matukio yanayotia shaka iwapo sisi wazazi tuna hakika na tunachostahili kuwapatia watoto wetu. Kule Mwanza na Geita yametokea mauaji yaliyotokana na mapigano kati ya Wakristo na Waislamu wakigombea kuchinja wanyama.

Utawala Bora hutokana na maadili mema (3)

Hata hivyo, siku hizi umeletwa utaratibu wa kuwa na “semina elekezi” kwa viongozi wote wakuu wa Serikali. Utaratibu huu unatokea mara kwa mara (periodically) pale hitaji la kuwaelekeza wanaohusika na utawala dhima na wajibu wao kitaifa.