JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

RATIBA YA MASHINDANO YA UEFA

Jumanne Februari 19, 2013 MUDA TIMU UWANJA 4:45 usiku Arsenal vs Bayern Munich Emirates 4:45 usiku FC Porto vs Malaga Dragao Jumatano Februari 20, 2013 4:45 usiku AC Milan vs Barcelona Giuseppe Meazza 4:45 usiku Galatasaray vs Schalke 04 Turk…

Wambura: Uongozi mbovu unaua soka Tanzania

Mdau maarufu wa soka nchini, Michael Wambura (pichani kulia), amekosoa soka la Tanzania kwamba linadumazwa na uongozi mbovu.

NUKUU ZA WIKI

Nyerere: Tuwe makini kuchagua viongozi “Hatari moja ya kuendelea kumchagua mtu yule yule kipindi hata kipindi huweza kuleta hofu na wasiwasi nchini.” Haya ni maneno ya Baba wa taifa letu, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Gurdjief: Binadamu huwa anabadilika “Binadamu hawezi…

Yah: Sasa naomba nimchague rais

Nianze kwa kuomba radhi kwa kutoonekana wiki jana kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu, nia ni moja na tuko pamoja katika kufanikisha mambo muhimu kwa jamii yetu iliyoparaganyika kimaadili, kisiasa na kiuchumi.

Njia bora ya kulinda biashara yako

Wiki iliyopita niliandika makala yaliyokuwa na kichwa “Unahitaji gia ya uvumilivu kumudu biashara”. Nilieleza visa kadhaa vilivyonitokea katika harakati za kibiashara. Mamia ya wasomaji kutoka pande mbalimbali za nchi wameonesha kuguswa na yaliyowahi kunitokea.

Nchi ya usingizi na wapiga soga

Anaweza kuwa na upungufu wake, lakini ni ukweli kwamba Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe, ni mmoja wa viongozi wenye uamuzi na mbinu zinazoleta nuru ya kuwapo mabadiliko katika utendaji kazi miongoni mwa watumishi wa umma.