JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Wataja chanzo cha anguko la elimu

 

Mkanganyiko wa matokeo mabaya ya mtihani wa Taifa wa kidato cha nne mwaka jana, yameendelea kuumiza vichwa vya wazazi na wadau wa sekta ya elimu mkoani Mbeya. Wazazi waliozungumza na JAMHURI wanaitupia lawama Serikali kwamba haijasimamia vizuri sekta hiyo, kwani imeruhusu walimu kujifanyia mambo yao pasipo kujali kazi yao ya kufundisha.

Taifa limefikishwa mahali pabaya

Nguvu na Mamlaka ya Umma ni maneno matano yanayobeba dhana pana ya falsafa ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo – CHADEMA.  Kwa wale ambao kwa bahati mbaya au hata kwa makusudi ni wavivu wa kufikiri, wazo au hata matumizi ya misuli siyo maana wala lengo la falsafa hiyo.

UCHAGUZI MKUU KENYA 2013

Ni Raila Odinga

Wananchi wa Kenya jana walipiga kumchagua rais wa nchi hiyo, huku kukiwa na matumaini makubwa kwa Waziri Mkuu Raila Odinga kushinda kiti hicho. Wakenya milioni 14.3 walijiandikisha kupiga kura mwaka jana, ingawa wengi hawakuhakiki taarifa za uandikishaji wao mwezi Januari.

RATIBA YA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA

Jumatano Februari 27, 2013 Coastal Union Vs Ruvu Shooting Yanga SC Vs Kagera Sugar Polisi Moro Vs Mgambo JKT JKT Ruvu Vs Totot Africans Mtibwa Sugar Vs TZ Prisons

Malinzi: Tuelekeze nguvu Morocco vs Taifa Stars

Mwenyekiti wa Chama cha Soka Mkoa wa Kagera, Jamal Malinzi, amewataka Watanzania kuiunga mkono  Taifa Stars iweze kushinda katika mchezo kuwania tiketi ya  kufuzu Kombe la Dunia unaotarajiwa kufanyika Machi 24, mwaka huu.

Nukuu ZA WIKI

Nyerere: Wafanyakazi wasinyonywe, waheshimiwe

“…wafanyakazi wa Tanzania wamelindwa wasinyonywe na matajiri wao, watu binafsi, na hata mashirika ya umma. Kila mfanyakazi apate heshima yake kama binadamu.”

Baba wa Taifa letu, Mwalimu Julius Nyerere aliyasema haya kukemea unyonyaji dhidi ya wafanyakazi.