JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Yah: Haya ndiyo maendeleo au tumelogwa? (2)

Mwisho wa makala iliyopita, nilisema nawafahamu waganga wa jadi ambao tukitaka kugangwa inatubidi tuwafuate. Kwa bahati mbaya yawezekana wakawa wametangulia mbele ya haki lakini bado kuna dawa walizoandika ama kuongea juu ya maradhi yetu, hebu tuige kabla hatujawa machizi wa kushinda jalalani.

Waraka wa uchumi kwa wafanyakazi (2)

Wiki iliyopita niliandika sehemu ya kwanza ya waraka huu. Pamoja na mambo mengine, nilichambua kwa kina sababu moja kati ya tatu zilizonisukuma kuwaandikia waraka huu.

Uwanja wa Ndege Mwanza ni aibu

Watumiaji wa Uwanja wa Ndege wa Mwanza watakiri kuwa uwanja huo ni kiungo muhimu sana kwa shughuli za kibiashara, kijamii na hata kisiasa.

FASIHI FASAHA

Serikali na kurupushani ya mchezo wa nyoka

Nilipokuwa na umri wa miaka saba hadi 12, nilicheza michezo mingi ukiwamo mchezo wa  nyoka. Mchezo unachezwa na idadi sawa ya watoto katika makundi mawili. Kundi la watoto na la wengine wanojifanya kuwa nyoka.

FIKRA YA HEKIMA

Nimeipenda kauli ya Mbowe Mbeya

Kwa mara nyingine, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, ameendelea kudhihirisha mng’aro wake katika nyaja ya siasa nchini.

Waziri anapong’ang’ania wizara iliyomshinda

Dk. Shukuru Kawambwa ni Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi. Kwa kusema kweli hajafanya lolote zuri la kumsifia tangu alipoteuliwa kuwa waziri.