JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Hongera Wakenya, Tanzania tujiandae

Wiki iliyopita tumeshuhudia Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka ya Kenya, ikitangaza matokeo ya uchaguzi mkuu. Matokeo hayo yamempa ushindi Uhuru Kenyatta wa Muungano wa Jubilee. Mshindani wake wa karibu, Raila Odinga amekataa kutambua matokeo haya.

CCM irudishe mali za umma serikalini

Tanzania ilikuwa nchi inayofuata mfumo wa chama kimoja hadi mwaka 1992, wakati nchi wahisani za magharibi ziliposhinikiza nchi zote duniani zinazoendelea, kuanzisha mfumo wa vyama vingi kama ishara ya kujenga misingi bora ya demokrasia kwa jamii.

Waandishi Tanzania, Kenyatta na ukabila

Mpendwa msomaji, Watanzania sasa tunawindana kama digidigi, tunang’oana meno na tunatoboana macho. Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania, Absalom Kibanda, ametekwa na kutendewa unyama huu.

Ujasiriamali waajiri vijana 3,000 Arusha

 

Wahitimu zaidi ya 3,000 wa mafunzo ya ujasiriamali katika taasisi ya The Fountain Justice Training College ya jijini Arusha, wameweza kujiajiri na hivyo kupunguza tatizo la ukosefu wa ajira kwa vijana.

Ushindi wa Uhuru Kenyatta ulivyopokewa Kenya

Wafuasi wa Uhuru Kenyatta walijitokeza mwishoni mwa wiki kusherehekea ushindi wake wa kiti cha urais wa Kenya. Uhuru amepata ushindi kwa asilimia 50.03 dhidi ya mpinzani wake wa karibu, Raila Odinga.

Chinja chinja ya Polisi yatikisa Geita

*Mfanyabiashara auawa, wampora dhahabu, mamilioni

*Mtoto, mke, majirani waeleza ‘sinema’ yote ilivyokuwa

Lukumani Yunge (13) ambaye ni mtoto wa Yemuga Fugungu (31) aliyeuawa wiki moja iliyopita nyumbani kwake katika Kitongoji cha Masota, Kata ya Uyovu Lunzewe wilayani Bukombe, ameeleza namna polisi walivyomlazimisha awaonesha chumba kinachotumiwa na baba yake kuhifadhia dhahabu.