Latest Posts
Ushabiki umekifanya kiti cha Spika kipwaye
Zipo taarifa kwamba “wakubwa” wanajiandaa kufanya mipango ya kuwaengua wabunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wasishiriki Mkutano wa Bunge la Bajeti unaotarajiwa kuanza mwezi ujao.
Wafanyakazi ‘wazembe’ ni msiba kwa ujasiriamali
Mwishoni mwa Februari, wakati nikisafiri kutoka Wilaya ya Mvomero kuelekea Kilombero, nilipofika mjini Morogoro, niliingia kwenye basi linalofanya safari kati ya Morogoro na Ifakara.
Yah: Watanzania ndio waajiri wa hao wenye mbwembwe
Wiki jana, niliandika makala niliyojaribu kupendekeza kiongozi tunayemhitaji, na niliahidi kuwa mmoja wa wagombea katika nafasi ya ubunge kama nitajiridhisha kuwa suala la kuchafuana kwa maneno halipo tena.
Jumatano ya Bayern Munich vs Arsenal
Mchuano wa Bayern Munich ya Ujerumani na Arsenal ya Uingereza uliofanyika Jumatano ya Machi 13, mwaka huu, umeacha kumbukumbu ya pekee katika tasnia ya soka duniani.
Ras Inno: Nimedhamiria kufufua muziki wa reggae
Dhana kwamba muziki wa reggae umepigwa kumbo hapa Tanzania na kudorora, ikilinganishwa na aina nyingine za muziki, imepingwa na kupatiwa majibu ya kuupenyeza muziki huo kwa mashabiki wake kwa kuurudishia mashiko kama ilivyokuwa zamani.
NUKUU ZA WIKI
Nyerere: Tushirikishe watu katika maendeleo
“Kama maendeleo ya kweli ni kuchukua mahali, watu wanapaswa kushirikishwa.”
Hii ni sehemu ya maneno ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere katika kitabu chake cha Uhuru na Maendeleo, 1973.