JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

‘Tumieni vyakula asilia’

Jamii imeshauriwa kujenga mazoea ya kutumia vyakula asilia, vikiwamo mbogamboga na matunda kupunguza kemikali, kutibu magonjwa na kusafisha damu mwilini.

Wanawake waelimishwa

Imeelezwa kwamba tatizo la wanawake wasiojua haki zao za mirathi limepungua kwa asilimia 50 kufikia mwaka huu.

Ikiwa mahakama huru, tutarajie uchaguzi mpya Kenya

Najua kuwa wanahabari tunaombeleza. Tunaombeleza si kwa sababu ndani ya mwezi huu kuna mwenzetu ameuawa, bali mwenzetu Absalom Kibanda ametekwa, ametolewa jicho, ameng’olewa kucha na kukatwa kodole. Amepewa ulemavu wa kudumu.

Walimu wapya 53 hawajaripoti Kasulu

Wakati tarehe ya mwisho ya walimu wapya kuripoti katika shule walizopangiwa kufundisha ni Machi 9, mwaka huu, kama ilivyotangazwa na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, walimu 53 kati ya 329 hawajaripoti katika Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu, mkoani Kigoma.

Lowassa ajiimarisha bungeni

Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa amezidi kujiimarisha kisiasa baada ya kuongeza idadi ya wenyeviti wa Kamati za Kisekta za Bunge wanaomuunga mkono.

Wakataa maji wakidai hawakushirikishwa

Wakazi wa Kitongoji cha Mkulila, Kijiji cha Wambishe wilayani Mbeya, wamekataa mradi wa umwagiliaji maji waliopelekewa na Serikali, wakidai hawakushirikishwa katika uanzishwaji wake.