Latest Posts
Mabadiliko ya kiuchumi yanukia Afrika
Mabadiliko makubwa ya maendeleo ya kiuchumi yanatarajiwa kuonekana Afrika, amesema Katibu Mtendaji wa Baraza la Uchumi Afrika, Dk. Carlos Lopes.
Serikali, wananchi wahimizwa kuwajibika
Shirika la Forum Syd Tanzania limeihimiza Serikali kuhakikisha inatimiza wajibu wake kwa kuwahudumia wananchi ipasavyo, na ameitaka na jamii yenyewe kuhakikisha inawajibika ili kuweza kukabili changamoto za umaskini wa kipato.
Sitta anatuchezesha makidamakida EAC
Wiki iliyopita nilisikia malumbano kati ya Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta, na wabunge wa Afrika Mashariki kutoka Tanzania. Wabunge kutoka Tanzania wakiongozwa na Shy-Rose Bhanji wanasema Serikali kupitia wizara hiyo haiwapi mwongozo wa nini wanapaswa kufanya.
Polisi wadhibiti uhalifu
Hivi karibuni Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Diwani Athuman, ameitisha mkutano na waandishi wa habari na kuwafahamisha kuwapo kwa mtandao mkubwa unaojihusisha na uporaji na mauaji ya watu.
Wanasiasa waepuke rafu kuelekea Uchaguzi Mkuu
Waingereza wanasema ‘Politics is a science.’ Tafsiri rahisi ya maneno haya ni kwamba siasa ni taaluma. Ni vizuri Watanzania tukalifahamu na kulizingatia hili. Katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu utakaofanyika nchini mwaka 2015, kumekuwapo na viashiria vya rafu za kisiasa.
Airtel Tanzania sasa kwachafuka
Wafanyakazi wa Kampuni ya Mawasiliano ya Airtel Tanzania wametangaza mgogoro na mwajiri wao, wakidai haki ya kuachishwa kazi. Wafanyakazi wanaohusika katika mgogoro huo ni 179 kutoka katika Idara ya Huduma kwa Wateja walioajiriwa kati ya mwaka 2001 na mwaka 2011.