JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Mifugo yaharibu Pori la Akiba Maswa

*Wanasiasa, wafanyabiashara washushiwa lawama

Maelfu ya ng’ombe na mifugo mingine imeingizwa ndani ya Pori la Akiba la Maswa.

Inakadiriwa kuwa asilimia 30 hadi 40 ya pori hilo imemezwa na mifugo hiyo. Wingi wake umesababisha wanyamapori wengi wakimbie.

Ridhiwani Kikwete aanika utajiri wake

*Aeleza adha za kuwa mtoto wa Rais, ataja fedha alizonazo benki

*Azungumzia urais 2015, uhusiano wake na Membe, Lowassa

*Achambua mgogoro wake na Hussein Bashe, Dk. Wilbrod Slaa

Mtoto wa Rais Jakaya Kikwete, Ridhiwani Kikwete, amefanya mahojiano maalum na Gazeti la JAMHURI nyumbani kwake Mikocheni jijini Dar es Salaam, Machi 30, mwaka huu, na kuzungumzia masuala mbalimbali yanayomhusu yeye binafsi na mengine yanayolihusu Taifa.

NuKUU ZA WIKI

  Nyerere: Wanadamu huongozwa na sheria “Nchi zote duniani huongozwa na wanadamu na si malaika. Wanadamu hawa huongozwa na Sheria na si kwa akili zao wenyewe.”   Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, aliyasema haya wakati akihimiza Watanzania kulinda…

Mjue Bestizzo wa sasa

*Alianza kwa Muumin, kisha Dimond

*Sasa amedakwa na Wema SepetuNi msanii chipukizi, kijana mdogo mwenye umri wa miaka 21. Kwa sasa amedakwa na msanii maarufu na Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu. Huyu kijana si mwingine yeyote bali ni Best Werema maarufu kwa jina la Bestizzo. Kwa sasa ni mwajiriwa katika kampuni ya Wema Sepetu inayojulikana kama Endless Fame Production.

Yah: Mtakuwa maskini wa kutupwa mkishakufa

Nakumbuka niliwahi kuwaandikia barua ya kuwataka muwe makini na hayo yanayoitwa maendeleo. Baadhi yenu mlionesha kuipinga kwamba hakuna maendeleo yasiyokuja na mabadiliko ya tabia.

Taifa linawahitaji ‘wajasiriakazi’

Nimekuwa nikiandika makala za hamasa kuhusu ujasiriamali, ikiwa ni hatua ya kukabiliana na mabadiliko ya kiuchumi ambapo kuna upungufu mkubwa wa ajira, lakini pia kuna mfumko wa gharama za maisha kiasi kwamba hata walioajiriwa wanapata wakati mgumu kumudu vema maisha ya kila siku.