Latest Posts
Waziri Kagasheki asiogope, Serikali isikubali kuchezewa
Machi 26 mwaka huu, Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Khamis Kagasheki, alitangaza uamuzi wa Serikali wa kupunguza eneo la Pori Tengefu la Loliondo.
Waishio mabondeni wahame; wahamie wapi?
Umekuwa wimbo wa kila ufikapo msimu wa mvua za masika, kuwasikia viongozi wa Serikali wakihimiza kwamba waishio mabondeni wahame, kwa vile wanaishi kwenye mazingira hatarishi ya maisha yao na mali zao.
Wafanyabiashara dawa za kulevya watajwa
Watanzania 235 wanaojihusisha na biashara haramu ya dawa za kulevya nje ya nchi, wamekamatwa katika kipindi cha mwaka 2008 hadi mwaka 2012.
Watalii waiingizia Tanzania yavuna 614.4 bil/-
Serikali imeingiza kipato cha Sh bilioni 114.4 kutoka kwa watalii 6,730,178 waliozuru nchini wakitokea mataifa mbalimbali, katika misimu ya 2001/2002 na 2011/2012.
China: Mkombozi pekee uchumi wa Afrika
Historia inazungumza mambo mazuri juu ya Afrika. Inaitaja Afrika kama chimbuko la maendeleo. Binadamu wa kwanza duniani anatajwa kuishi Afrika. Olduvai Gorge iliyopo Arusha nchini Tanzania, inatajwa kama eneo alikoishi binadamu wa kale zaidi ya miaka milioni mbili iliyopita.
NHC: Hatuhusiki ujenzi ghorofa lililoanguka
Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) limejitokeza na kukana kuhusika na ujenzi wa jengo la ghorofa 16 katika Mtaa wa Indira Gandhi, jijini Dar es Salaam, ambalo lilianguka wiki iliyopita.