JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Alliance hiyooo Uingereza

 

Timu ya soka ya Alliance ya jijini Mwanza, imealikwa kushiriki mashindano ya kimataifa yanayojulikana kama International English Super Cup 2013, huku ikiahidi kurejea nchini na ushindi.

Yah: Watekaji wasajiliwe, walipe kodi

Kuna wakati nahisi kama nchi yetu tunahitaji kuwa na ofisi za kijasusi, ambazo zimesajiliwa na zinalipa kodi kuliongezea Taifa mapato.

Matumaini aliyoleta Kinana yamepotea

Kwa muda mrefu wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) walikuwa wamekata tamaa na chama chao. Walikuwa na hakika kwamba chama chao kingeangushwa  katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015. Kwa nini!

Nashauri kwa hili waanze na Pinda

Haraka haraka baada ya kuanguka kwa jengo lenye ghorofa 16 katika Mtaa wa Indira Gandhi jijini Dar es Salaam, viongozi wa Serikali wakatoa amri ya kukamatwa kwa Mkandarasi, Mhandisi Mkuu na Mkurugenzi Mkuu wa Ukaguzi wa Majengo wa Manispaa ya Ilala.

FASIHI FASAHA

Ulimi mzuri utaimarisha uchumi Tanzania

Juma lililopita nilizungumzia thamani ya faraka ya matumizi ya ulimi wa mwanadamu. Ukitumika vizuri huleta rutuba chanya ya  maendeleo, na ukitumika vibaya huleta rutuba hasi ya maendeleo, iwe ya mtu kikundi cha watu ama Taifa.

FIKRA YA HEKIMA

 

2015 tuwakatae wabunge, mawaziri wa aina hii

Kwa hakika Watanzania hatuna sababu ya kuwarejesha madarakani wanasiasa hawa, kwa vile wametudhihirishia wazi kuwa nia yao ilikuwa ni zaidi ya kutuongoza na kututumikia.

Ninazungumzia wabunge na mawaziri wasiopokea simu za wananchi wa kawaida. Waswahili wanasema kufanya kosa si kosa; kurudia kosa ndiyo kosa.