JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Je, Mkristo akichinja ni haramu?

Chakula cha nyama, ni moja ya hitaji  katika  mlo. Hutumika  kama kitoweo sehemu mbalimbali kuanzia kwenye milo ya nyumbani, sherehe mbalimbali hadi sehemu kunakouzwa vyakula.Hata hivyo,suala  linalohusiana na uchinjaji wa wanyama kwa ajili ya chakula, limekuwa likileta matatizo na misuguano isiyo ya lazima katika jamii yetu Watanzania, na hivyo kusababisha  kero kwa watu wengine.

Wabunge msiwaangushe wapigakura wenu

Bunge la Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2013/2014 linaanza leo mjini Dodoma, huku Watanzania wakitarajia kuona na kusikia wabunge wao wakipitisha bajeti inayojibu matatizo yanayowakabili.

Mvutano uchinjaji Mbeya

Hivi karibuni kumezuka vurugu baina ya Wakristo na Waislamu katika mji wa Tunduma mkoani Mbeya, wakigombea uchinjaji mifugo ingawa siku zote Waislamu ndiyo wamekuwa wakitekeleza jukumu hilo.

India yakubaliwa kuchimba dhahabu, almasi Tanzania

 

Serikali ya Tanzania imekubali ombi la Serikali ya India, la kutaka kuwekeza katika sekta ya nishati na madini nchini.

Udokozi bandarini ukomeshwe

Bandari ya Dar es Salaam ni mashuhuri katika nchi za Afrika Mashariki na Kati. Bandari hii, kwa muda mrefu, imekuwa kitovu cha biashara kati ya Tanzania na nchi za Afrika Mashariki na Kati zisizokuwa na bandari (land locked).

Kuchinja si tatizo, tatizo ni udini

Wiki hii nimelazimika kuandika tena mada hii. Nimeiandika mada hii baada ya kuona moto unazidi kusambaa nchi nzima. Tatizo lilianzia Kanda ya Ziwa kwenye mikoa ya Mwanza na Geita, likaenda Shinyanga, lakini sasa limehamia Tunduma.