Latest Posts
Je, Mkristo akichinja ni haramu?
Chakula cha nyama, ni moja ya hitaji katika mlo. Hutumika kama kitoweo sehemu mbalimbali kuanzia kwenye milo ya nyumbani, sherehe mbalimbali hadi sehemu kunakouzwa vyakula.Hata hivyo,suala linalohusiana na uchinjaji wa wanyama kwa ajili ya chakula, limekuwa likileta matatizo na misuguano isiyo ya lazima katika jamii yetu Watanzania, na hivyo kusababisha kero kwa watu wengine.
Wabunge msiwaangushe wapigakura wenu
Bunge la Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2013/2014 linaanza leo mjini Dodoma, huku Watanzania wakitarajia kuona na kusikia wabunge wao wakipitisha bajeti inayojibu matatizo yanayowakabili.
Mvutano uchinjaji Mbeya
Hivi karibuni kumezuka vurugu baina ya Wakristo na Waislamu katika mji wa Tunduma mkoani Mbeya, wakigombea uchinjaji mifugo ingawa siku zote Waislamu ndiyo wamekuwa wakitekeleza jukumu hilo.
India yakubaliwa kuchimba dhahabu, almasi Tanzania
Serikali ya Tanzania imekubali ombi la Serikali ya India, la kutaka kuwekeza katika sekta ya nishati na madini nchini.
Udokozi bandarini ukomeshwe
Bandari ya Dar es Salaam ni mashuhuri katika nchi za Afrika Mashariki na Kati. Bandari hii, kwa muda mrefu, imekuwa kitovu cha biashara kati ya Tanzania na nchi za Afrika Mashariki na Kati zisizokuwa na bandari (land locked).
Kuchinja si tatizo, tatizo ni udini
Wiki hii nimelazimika kuandika tena mada hii. Nimeiandika mada hii baada ya kuona moto unazidi kusambaa nchi nzima. Tatizo lilianzia Kanda ya Ziwa kwenye mikoa ya Mwanza na Geita, likaenda Shinyanga, lakini sasa limehamia Tunduma.
Habari mpya
- TASSIM yaandaa maonyesho ya viwanda vidogo Dodoma
- Tanzania ya sita duniani kwa ongezeko la watalii
- Benki ya Akiba yazindua kampeni ‘Tupo Mtaani kwako’
- Vijana shikamaneni kulinda amani ya nchi yetu – Dk Biteko
- Waziri Ndumbaro awataka wazazi kukemea mmomonyoko wa maadili
- Tamasha la utamaduni kitaifa lafunguliwa Songea
- Rais Samia ateta IGP Wambura Ikulu jijini Dar es Salaam
- Kafulila aipongeza CBE kwa ubunifu
- Rais Mwinyi aipongeza Airpay uzinduzi mifumo ya kidijitali ya ZEEA
- Uchunguzi wa kisayansi umesaidia kuunganisha wahalifu na tuhuma zinazowakabili kiurahisi
- Wanachama wa CHADEMA, ACT- Wazalendo 62 wahamia CCM Kibaha Mji
- Dk Biteko aagiza Kigoma kuingizwa kwenye gridi kabla ya 2025
- Nishati safi inamuondolea adha mtoto wa kike – Kijaji
- Maendeleo ni makubwa nchini, Watanzania tumuunge mkono Rais Samia- Mathias Canal
- Mhagaa : Serikali yatenga bil. 1/- upimaji afya nyumba kwa nyumba