JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Serikali nayo inapokuwa mlalamishi…

Serikali imesema kasi ya ongezeko la idadi ya watu jijini Dar es Salaam, inatisha. Kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2012, Dar es Salaam inakadiriwa kuwa na watu milioni 4.3.

FASIHI FASAHA

Watanzania tunakinyanyasa, kukibeua Kiswahili


“Lugha yetu ya Kiswahili imepata misukosuko mingi kwa kunyanyaswa na kubeuliwa kwa karne nyingi zilizopita. Unyonge wetu ulitokana na kutawaliwa na kudharauliwa uliotufikisha mahali ambapo hata sisi wenyewe tulianza kukinyanyasa na kukibeua Kiswahili.”

FIKRA YA HEKIMA

Rais Kikwete ana uzuri, ubaya wake

 

Siwezi kuamini kwamba Rais wa sasa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete, ni binadamu asiye na upungufu, la hasha!

Tatizo la Serikali ni kufuga matatizo

Nikitaka kusema kweli (na ni lazima niseme kweli), Serikali ya Tanzania si mbaya kama watu wengine wanavyotaka kutuaminisha.

Alikuwa nani katika maisha ya Mwalimu Nyerere?

Siku moja niliulizwa ninamkumbukaje Mama Joan Wicken? Haraka haraka jibu lililonijia kichwani lilikuwa: “Alikuwa mchapa kazi hodari sana, aliyeitumikia nchi yetu kwa moyo wake wote na kwa nguvu zake zote!”

Mbatia jasiri wa kuigwa

 

Wahega walisema kwamba linaweza kutokea usilolitarajia kamwe. Sikutarajia hata siku moja kwamba Mbunge wa kuteuliwa na Rais atajiingiza kwa kishindo katika historia ya Muungano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa kutenda kinachofanana na kuuma mkono unaomlisha, nia yake ikiwa kujiepusha na mgongano wa maslahi.