Latest Posts
Bagamoyo wamegewa neema nyingine
*Vijiji 20 kugawiwa fedha, chakula, elimu
Wakati bado mjadala wa upendeleo wa wilaya yake ukiendelea kumwandamana Rais Jakaya Kikwete, mradi mwingine wa mabilioni ya shilingi umepelekwa katika vijiji 20 vya Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani.
Bila kudhibiti NGOs Loliondo haitatulia
Kwa mara nyingine, Loliondo imetawala kwenye vyombo vya habari vya ndani na nje ya nchi. Sina desturi ya kuitetea Serikali, lakini hiyo haina maana kwamba inapoamua kufanya jambo la manufaa kwa vizazi vya sasa na vijavyo, nishindwe kuitetea.
BAADA YA KUANIKA MADUDU…
Ofisi ya CAG sasa yasambaratishwa
*Naibu CAG aondolewa, Utouh atakiwa ajiandae kung’atuka
Hasira za watendaji kadhaa wa Serikali Kuu, Serikali za Mitaa, Mashirika ya Umma na taasisi mbalimbali dhidi ya Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, zimeanza kuzaa matunda baada ya kuwapo mpango wa kuwang’oa viongozi wake wakuu.
NuKUU ZA WIKI
Nyerere: Miiko ya uongozi
“Siku hizi fedha ndio sifa kubwa ya mtu kuchaguliwa kuwa kiongozi. Miiko ya uongozi ambayo ni jambo la lazima katika kila nchi duniani, haipo tena hapa nchini.”
Maneno haya ni ya Baba wa Taifa letu, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Dk. Wande alilia mshikamano Simba
*Ahofu mgogoro wa Simba utaathiri soka nchini
Mwanachama wa siku nyingi wa Wekundu wa Msimbazi, Simba Sports Club ya Dar es Salaam, Dk. Mohamed Wande, ametaja mbinu pekee ya kuinusuru klabu hiyo isididimie kisoka kuwa ni mshikamano wa wanachama na wachezaji.
Udini sasa nongwa (5)
Katika makala iliyopita kwenye safu hii, tuliandika kwa makosa kuwa makala ile ingekuwa hitimisho. Tena kukawa na kosa lililoonyesha kuwa ilikuwa sehemu ya tano. Usahihi ni kwamba hii ndiyo sehemu ya tano na ya mwisho katika mfululilo wa makala hii…
Habari mpya
- TASSIM yaandaa maonyesho ya viwanda vidogo Dodoma
- Tanzania ya sita duniani kwa ongezeko la watalii
- Benki ya Akiba yazindua kampeni ‘Tupo Mtaani kwako’
- Vijana shikamaneni kulinda amani ya nchi yetu – Dk Biteko
- Waziri Ndumbaro awataka wazazi kukemea mmomonyoko wa maadili
- Tamasha la utamaduni kitaifa lafunguliwa Songea
- Rais Samia ateta IGP Wambura Ikulu jijini Dar es Salaam
- Kafulila aipongeza CBE kwa ubunifu
- Rais Mwinyi aipongeza Airpay uzinduzi mifumo ya kidijitali ya ZEEA
- Uchunguzi wa kisayansi umesaidia kuunganisha wahalifu na tuhuma zinazowakabili kiurahisi
- Wanachama wa CHADEMA, ACT- Wazalendo 62 wahamia CCM Kibaha Mji
- Dk Biteko aagiza Kigoma kuingizwa kwenye gridi kabla ya 2025
- Nishati safi inamuondolea adha mtoto wa kike – Kijaji
- Maendeleo ni makubwa nchini, Watanzania tumuunge mkono Rais Samia- Mathias Canal
- Mhagaa : Serikali yatenga bil. 1/- upimaji afya nyumba kwa nyumba