JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Tuunge mkono mkakati wa TRA

Wiki iliyopita Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ilitangaza mkakati mpya wa ukusanyaji mapato. Mkakati huu mpya ulitangazwa mbele ya Wahariri wa vyombo vya habari nchini siku ya Alhamisi. Mkutano huo ulimhusisha Mkurugenzi wa Elimu kwa Walipakodi, Richard Kayombo na Naibu Kamishna (Mapato ya Ndani), Jenerose Bateyunga.

Uchinjaji wawanyima viongozi usingizi

Mgogoro wa kugombea uchinjaji wanyama baina ya Waislamu na Wakristo unaendelea kuwanyima usingizi viongozi wa dini na serikali.

Nderakindo: Tubadilishe mfumo wa elimu tuinue uchumi

 

Tanzania haiwezi kuendelea kisiasa, kiuchumi na kiutamaduni, kama haitabadili mfumo wa elimu na kuwekeza zaidi katika sekta hizo.

Bila viboko tusahau elimu

Wiki iliyopita nchi hii ilitawaliwa na mjadala wa uamuzi wa Serikali kurejesha viboko shuleni. Mjadala huu najua umegusa mifano mingi. Wachangiaji wengi wamerejea vitabu vya imani mbalimbali, vinavyoeleza jinsi fimbo inavyosaidia kumnyoosha mtoto.

FCC yateketeza vipuri bandia

Tume ya Ushindani na Haki (FCC) nchini imeteketeza vipuri bandia vya magari, na kuwaonya wafanyabiashara kujiepusha kununua na kuuza bidhaa zilizoghushiwa.

Samaki Ziwa Victoria bye bye

*CAG asema uvuvi huu ukiendelea miaka 15 ijayo litakuwa tupu

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utouh, ametoa ripoti ya ukaguzi ya mwaka 2011/2012 na kutoa tahadhari kwamba endapo uvuvi haramu hautadhibitiwa katika Ziwa Victoria, miaka 15 hadi 20 ijayo samaki watakuwa wametoweka katika ziwa hilo kubwa katika Afrika.