JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

FASIHI FASAHA

Watanzania tunakinyanyasa, kukibeua Kiswahili – 2

 

Juma lililopita nilizungumzia lugha yetu ya Kiswahili. Katika makala yale tuliona baadhi ya maandishi yenye kauli zinazoonesha mashaka au wasiwasi wa kunyanyaswa na kubeuliwa Kiswahili.

Haya nayo yana mwisho

Ninapotafakari mwenendo wa kiti cha Spika, sioni kama kuna umuhimu wa kuwa na Bunge.

Kumbe basi, Tanzania tunaweza kuendesha mambo bila kuwa na hiki chombo ambacho katika nchi nyingine, ni chombo kitakatifu.

FIKRA YA HEKIMA

Serikali inapodhamiria kukandamiza wanyonge

 

Kuwapandishia nauli watu wanaoshinda na kulala na njaa ni sawa na kuwachimbia kaburi; maana sasa watashindwa kwenda kujitafutia riziki ya kujikimu na familia zao, na hatimaye watakufa kwa kukosa chakula.

ARV bandia: Serikali itoe taarifa sahihi

Taarifa za karibuni zinaonesha kwamba watu 5,358 wanaoishi na Virusi Vya Ukimwi (VVU) waliokuwa kwenye matibabu, wameacha kutumia dawa za kupunguza makali ya ugonjwa huo (ARVs), mkoani Dodoma.

Mulugo na matatizo ya elimu

Aprili 8 mwaka huu, Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Philipo Mulugo (pichani kulia), amezungumzia matatizo ya elimu yaliyoikumba Tanzania.

Sisi Waafrika weusi tukoje? (1)

Siku moja nilipokuwa nikisherehekea siku yangu ya kuzaliwa, mjukuu wangu mmoja kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam alinizawadia kitabu kiitwacho ‘Waafrika Ndivyo Tulivyo?’