JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Diplomasia na gharama ya kusubiri

Nilipowapokea vijana kadhaa wa Kitanzania hapa London, miaka karibu mitano iliyopita, mmoja wao alikuwa amesomea diplomasia.

Tumeacha kuheshimu sheria, tumekwisha

Wiki hii nimekuwa hapa jijini Johannesburg. Nimekuja hapa Afrika Kusini kwa nia ya kumuona Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Absalom Kibanda, aliyetekwa, akapigwa, akaumizwa, akatobolewa jicho, akang’olewa meno na kucha. Ametiwa ulemavu wa kudumu. Ni masikitiko makubwa.

DTB yatangaza Xpress Money

Taasisi ya fedha, Diamond Trust Bank (T) Ltd (DTBT), imetangaza rasmi huduma ya Xpress Money inayohamisha fedha kimataifa kwa kutumia mtandao kwa ada nafuu.

Vijiji vyanufaika na uhifadhi

Vijiji 23 katika Wilaya ya Longido mkoani Arusha, vimepokea Sh 106,927,900 kutoka Mfuko wa Uhifadhi unaojulikana kama Friedkin Conservation Fund, unaomiliki kitalu cha uwindaji wa kitalii cha Natron Kaskazini.

NUKUU ZA WIKI

Nyerere: Kiongozi hang’ang’anii ofisini

“Tuna viongozi wachache sana kwa maana halisi ya neno ‘kiongozi’, yaani ‘mwonyesha njia’. Huwezi kuonyesha njia kwa kung’ang’ania ofisini.”

 

Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, aliyasema haya katika Mkutano Mkuu Maalumu wa CCM Taifa, Agosti 16, 1990, jijini Dar es Salaam.

Mradi wa WB hatarini

*Ni kisima cha maji kilichogharimu Sh mil 50

*Tajiri anataka apewe Sh mil 22 kukinusuru

Wakati Watanzania wengi wakikosa maji safi na salama, mradi wa kisima cha maji eneo la Mpeta katika Manispaa ya Temeke, Dar es Salaam, uliofadhiliwa na Benki ya Dunia (WB), uko hatarini kutoweka.